Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kardashian: North ‘kaposti’ uchafu

Kim-KardashianNEW YORK, MAREKANI

MWANAMITINDO wa Kimarekani, Kim Kardashian, amemtupia lawama mtoto wake, North West, mwenye umri wa miaka miwili, kwa kitendo cha kuweka picha ya mrembo huyo ikiwa haionyeshi maadili kwa jamii kwenye mtandao wa Instagram.

Mtoto huyo alikuwa hajui alitendalo ambapo alijikuta akiweka picha ya mama yake wakati akiwa na umri wa miaka 10.

Hata hivyo, baada ya mama yake kugundua aliamua kuitoa haraka iwezekanavyo baada ya kuanza kupokea ujumbe kutoka kwa watu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Kanye West ampiga marafuku mume wa dada yake na Kim Kardashian kumsogelea mwanae North

Baada ya kudaiwa kuwa Kanye West amechukizwa na jinsi mume wa dada yake na Kim, Kourtney Kardashian, Scott Disick anavyoishi na mke wake, kuna tetesi kuwa sasa amempiga marafuku kuwa karibu na mwanae, North. Kanye West akiwa na Scott Disick Kanye West anadai hapendi tabia ya Scott Disick ya kula bata na kukesha baa wakati […]

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Kardashian Fans Think Kourtney and Kim Kardashian are the Most 'Naturally Beautiful' of Their Sisters

Kardashian Fans Think Kourtney and Kim Kardashian are the Most 'Naturally Beautiful' of Their Sisters  Showbiz Cheat SheetKourtney Kardashian Reacts Kylie Jenner & Travis Scott Getting Exposed By Mason Disick  HollywoodLifeWhy Kourtney Kardashian Made Mason Disick Delete His Instagram  E! NEWSMason Disick just spilled the tea about Kylie Jenner and Travis Scott  cosmopolitan.comKim Kardashian Shades Kylie Jenner & Kendall Jenner In New Video  HollywoodLifeView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Cosmopolitan.Com

Kim Kardashian and Kourtney Kardashian Are "Embarrassed" About Their 'KUWTK' Fight

Kim Kardashian and Kourtney Kardashian Are "Embarrassed" About Their 'KUWTK' Fight  Cosmopolitan.comKhloé Kardashian would ‘demolish Kourtney if they ever fight  Geo NewsKourtney Kardashian and Scott Disick's Co-Parenting Might Be 'Just For Show' According to Fans  Showbiz Cheat SheetKendall Jenner thinks Kourtney Kardashian’s breakup with Scott Disick is the reason behind her family feud  PINKVILLAKourtney Kardashian defends her stance on motherhood: ‘raising children is a job  Geo NewsView...

 

11 years ago

GPL

UCHAFU BARABARANI

Taswira mbalimbali zikionyesha baadhi ya takataka zikiwa pembezoni mwa barabara ya Shekilango, maeneo ya Sinza, jijini Dar es Salaam. KATIKA hali isiyo ya kawaida kamera jana jioni…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Masikini akifananishwa na uchafu

KILIO na maneno yao ya kuomboleza yalifanana mithiri ya watu walioambizana kuimba wimbo mmoja hata kama hawakujuana. Wa kwanza alikuwa mwanaume, huyu alikuwa akilia kwa uchungu huku akiwauliza askari wale...

 

9 years ago

Habarileo

RC akerwa na uchafu Tanga

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mwantumu Mahiza amesema haridhishwi na kiwango cha usafi wa mazingira katika mitaa ya jiji la Tanga licha ya halmashauri hiyo kupongezwa kwa kushika nafasi ya pili kwa usafi hapa nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchafu ni utamaduni wa Watanzania?

SERIKALI ni nini? Ni chombo kikuu kabisa chenye madaraka ya kuendesha utawala  wa nchi, chenye wizara mbalimbali. Serikali ni nani? Ni mimi, wewe na yule. Ni watu; na watu ni...

 

11 years ago

GPL

UCHAFU WA WEMA, AUNT

Na  Imelda Mtema
Uchafu! Picha za madiva wakubwa wa filamu Tanzania, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson zimebambwa na gazeti hili hivi karibuni wakiwa katika hali ya kimalavidavi licha ya kwamba, mmoja ni mke wa mtu, mwingine mchumba. Kwa mujibu wa mnyetishaji wetu, ishu hiyo ilichukua nafasi maeneo ya Mikocheni jijini Dar es Salaam ambako Wema na Aunt wamepiga kambi kwa ajili ya filamu yao mpya ya Familia. Ilidaiwa...

 

10 years ago

GPL

RAYUU,SKAINA WAFANYA UCHAFU

Mayasa mariwata SMATAA wa filamu Bongo Alice Bagenzi ‘Rayuu’ pamoja na Skyner Ally ‘Skaina’ wanadaiwa kufanya uchafu baada ya picha za wawili hao wakionesha mahaba hadharani kusambaa. Staa wa filamu Bongo Alice Bagenzi ‘Rayuu’. Chanzo kinaanika kuwa wawili hao hivi karibuni walikutana katika Ukumbi wa KD, Kijitonyama ambapo kulikuwa na sherehe ya kuzaliwa kwa Rayuu huku wakionesha mahaba ya mtu na mpenzi wake ndipo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani