Masikini akifananishwa na uchafu
KILIO na maneno yao ya kuomboleza yalifanana mithiri ya watu walioambizana kuimba wimbo mmoja hata kama hawakujuana. Wa kwanza alikuwa mwanaume, huyu alikuwa akilia kwa uchungu huku akiwauliza askari wale...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-TwemQV8fRCg/VTeIwlVB48I/AAAAAAABMMo/_BHN-bVWe9M/s72-c/11031134_1060472877345892_9130118405578499426_n.jpg)
BAADA YA KUSAMBAA KWA PICHA ZA MWANASHERIA AKIFANANISHWA NA JAMBAZI HIKI NDICHO ALICHOKISEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TwemQV8fRCg/VTeIwlVB48I/AAAAAAABMMo/_BHN-bVWe9M/s1600/11031134_1060472877345892_9130118405578499426_n.jpg)
Kutokana na kusambaa kwa picha katika mitandao ya kijamii zinazoonyesha vijana wanaosadikika kuwa ni majambazi waliokamatwa na jeshi la polisi siku ya jana, kijana aliyezungushiwa duara ambaye anaonekana katika picha akiwa na wenzake, anafananishwa na kijana anayeonekana akiwa na mwenziwake katika shughuli ya kumvalisha pete ya uchumba mwenzi huyo, ambapo watu...
11 years ago
GPLUCHAFU BARABARANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQKtZpfuL7-se8J4ZvLVVrurmmVag8UQCciD1vrZ4A7hM74-Ly7Cm2Znpvl9p4Zgnr8fneW1OREy-zhzKdeo1CV3/wema.jpg?width=650)
UCHAFU WA WEMA, AUNT
9 years ago
Habarileo04 Dec
RC akerwa na uchafu Tanga
MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mwantumu Mahiza amesema haridhishwi na kiwango cha usafi wa mazingira katika mitaa ya jiji la Tanga licha ya halmashauri hiyo kupongezwa kwa kushika nafasi ya pili kwa usafi hapa nchini.
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Uchafu ni utamaduni wa Watanzania?
SERIKALI ni nini? Ni chombo kikuu kabisa chenye madaraka ya kuendesha utawala wa nchi, chenye wizara mbalimbali. Serikali ni nani? Ni mimi, wewe na yule. Ni watu; na watu ni...
10 years ago
Habarileo06 Feb
RC akerwa na uchafu Hospitali ya mkoa
MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego ameuagiza uongozi wa Hospitali ya Mkoa ya Ligula kuhakikisha inafuata miongozo na kanuni za usafi katika hospitali hiyo ambayo kwa sasa imekithiri kwa uchafu.
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Miji mikubwa na kukithiri na uchafu
UBORESHAJI hafifu wa mitaro ya maji taka na taka ngumu katika barabara za miji na majiji nchini, zimebainika kuchangia kwa kiasi kikubwa kuziba kwa mitaro hiyo, madaraja na kuharibu kingo za mito hali inayopelekea kuwepo kwa matokeo mabaya ya mafuriko mvua zinaponyesha.
Uchunguzi unaonyesha kwamba uzalishaji wa taka katika miji na majiji nchini hauendi sambamba na kuzitunza taka hizo, kwani katika maeneo mengi mijini, taka zimekuwa zikizagaa licha ya kuwa taka hizo zinageuzwa kuwa...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
WB : Uchafu waigharimu Tanzania Sh301bn
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun1yzOCJleyhV6QRB1kwpVxXyPYH2PY1DLwO9IYRZge5gqFVnDKUBiWVc7rnDTVyUDSwQPTCpouL01PWHWNCuGd*/OFM.gif?width=650)
OFM YAFICHUA UCHAFU WA KUTISHA