Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WB : Uchafu waigharimu Tanzania Sh301bn

Utafiti uliofanywa nchini na Benki ya Dunia (WB), unaonyesha kwamba Serikali inapoteza Sh301 bilioni kwa mwaka kwa sababu na mazingira duni ya usafi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Wilgrand Lubida: Mvumbuzi anayetumia uchafu kutengeneza spika Tanzania

Wilgrand Lubida ambaye ana umri wa miaka 27 alianza kufanya hivi miaka 12 iliopita wakati alipokuwa mwanafunzi wa shule ya upili.

 

11 years ago

GPL

UCHAFU BARABARANI

Taswira mbalimbali zikionyesha baadhi ya takataka zikiwa pembezoni mwa barabara ya Shekilango, maeneo ya Sinza, jijini Dar es Salaam. KATIKA hali isiyo ya kawaida kamera jana jioni…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchafu ni utamaduni wa Watanzania?

SERIKALI ni nini? Ni chombo kikuu kabisa chenye madaraka ya kuendesha utawala  wa nchi, chenye wizara mbalimbali. Serikali ni nani? Ni mimi, wewe na yule. Ni watu; na watu ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Masikini akifananishwa na uchafu

KILIO na maneno yao ya kuomboleza yalifanana mithiri ya watu walioambizana kuimba wimbo mmoja hata kama hawakujuana. Wa kwanza alikuwa mwanaume, huyu alikuwa akilia kwa uchungu huku akiwauliza askari wale...

 

9 years ago

Habarileo

RC akerwa na uchafu Tanga

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mwantumu Mahiza amesema haridhishwi na kiwango cha usafi wa mazingira katika mitaa ya jiji la Tanga licha ya halmashauri hiyo kupongezwa kwa kushika nafasi ya pili kwa usafi hapa nchini.

 

11 years ago

GPL

UCHAFU WA WEMA, AUNT

Na  Imelda Mtema
Uchafu! Picha za madiva wakubwa wa filamu Tanzania, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson zimebambwa na gazeti hili hivi karibuni wakiwa katika hali ya kimalavidavi licha ya kwamba, mmoja ni mke wa mtu, mwingine mchumba. Kwa mujibu wa mnyetishaji wetu, ishu hiyo ilichukua nafasi maeneo ya Mikocheni jijini Dar es Salaam ambako Wema na Aunt wamepiga kambi kwa ajili ya filamu yao mpya ya Familia. Ilidaiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Uchafu ulisababisha kivuko kuzima’

Uchafu unaotupwa baharini hasa wa mifuko ya plastiki ndiyo uliosababisha kuzima ghafla kwa injini ya Kivuko cha Mv Magogoni katikati ya wiki hii.

 

9 years ago

GPL

OFM YAFICHUA UCHAFU WA KUTISHA

WAandishi Wetu INATISHA! Hivi ndivyo unavyoweza kusema mara tu unapofika katika hospitali ya serikali ya Kijitonyama, iliyopo Sinza Mapambano jijini Dar es Salaam kwani kuna uchafu mwingi unaoenda tofauti kabisa na mazingira yanayostahili katika kituo hicho cha huduma za afya, Risasi Mchanganyiko linakuthibitishia.  .....Soma zaidi===>http://bit.ly/1J2DooD ...

 

9 years ago

GPL

RAYUU,SKAINA WAFANYA UCHAFU

Mayasa mariwata SMATAA wa filamu Bongo Alice Bagenzi ‘Rayuu’ pamoja na Skyner Ally ‘Skaina’ wanadaiwa kufanya uchafu baada ya picha za wawili hao wakionesha mahaba hadharani kusambaa. Staa wa filamu Bongo Alice Bagenzi ‘Rayuu’. Chanzo kinaanika kuwa wawili hao hivi karibuni walikutana katika Ukumbi wa KD, Kijitonyama ambapo kulikuwa na sherehe ya kuzaliwa kwa Rayuu huku wakionesha mahaba ya mtu na mpenzi wake ndipo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani