UCHAFU BARABARANI
Taswira mbalimbali zikionyesha baadhi ya takataka zikiwa pembezoni mwa barabara ya Shekilango, maeneo ya Sinza, jijini Dar es Salaam. KATIKA hali isiyo ya kawaida kamera jana jioni…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAIRTEL, BARAZA LA USALAMA BARABARANI KUHAMASISHA USALAMA BARABARANI MSIMU WA SIKUKUU
11 years ago
GPL
UCHAFU WA WEMA, AUNT
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Masikini akifananishwa na uchafu
KILIO na maneno yao ya kuomboleza yalifanana mithiri ya watu walioambizana kuimba wimbo mmoja hata kama hawakujuana. Wa kwanza alikuwa mwanaume, huyu alikuwa akilia kwa uchungu huku akiwauliza askari wale...
9 years ago
Habarileo04 Dec
RC akerwa na uchafu Tanga
MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mwantumu Mahiza amesema haridhishwi na kiwango cha usafi wa mazingira katika mitaa ya jiji la Tanga licha ya halmashauri hiyo kupongezwa kwa kushika nafasi ya pili kwa usafi hapa nchini.
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Uchafu ni utamaduni wa Watanzania?
SERIKALI ni nini? Ni chombo kikuu kabisa chenye madaraka ya kuendesha utawala wa nchi, chenye wizara mbalimbali. Serikali ni nani? Ni mimi, wewe na yule. Ni watu; na watu ni...
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Kardashian: North ‘kaposti’ uchafu
NEW YORK, MAREKANI
MWANAMITINDO wa Kimarekani, Kim Kardashian, amemtupia lawama mtoto wake, North West, mwenye umri wa miaka miwili, kwa kitendo cha kuweka picha ya mrembo huyo ikiwa haionyeshi maadili kwa jamii kwenye mtandao wa Instagram.
Mtoto huyo alikuwa hajui alitendalo ambapo alijikuta akiweka picha ya mama yake wakati akiwa na umri wa miaka 10.
Hata hivyo, baada ya mama yake kugundua aliamua kuitoa haraka iwezekanavyo baada ya kuanza kupokea ujumbe kutoka kwa watu...
10 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Miji mikubwa na kukithiri na uchafu
UBORESHAJI hafifu wa mitaro ya maji taka na taka ngumu katika barabara za miji na majiji nchini, zimebainika kuchangia kwa kiasi kikubwa kuziba kwa mitaro hiyo, madaraja na kuharibu kingo za mito hali inayopelekea kuwepo kwa matokeo mabaya ya mafuriko mvua zinaponyesha.
Uchunguzi unaonyesha kwamba uzalishaji wa taka katika miji na majiji nchini hauendi sambamba na kuzitunza taka hizo, kwani katika maeneo mengi mijini, taka zimekuwa zikizagaa licha ya kuwa taka hizo zinageuzwa kuwa...
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Walalamikia uchafu kituoni Mbagala
10 years ago
GPL
OFM YAFICHUA UCHAFU WA KUTISHA