Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Karibu Nape katika michezo, burudani

Tasnia za michezo, burudani na sanaa nchini zilimshuhudia Rais John Magufuli akimteua Nape Nnauye kuiongoza tasnia hiyo kwa miaka mitano ijayo Alhamisi wiki iliyopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Karibu Sochi kwenye michezo ya barafu

Mashindano yaliyo gharimu Kitita kikubwa zaidi katika historia ya Olimpiki yatafunguliwa Urusi leo huku medali 98 ziking'ang'aniwa katika siku kumi na sita.

 

11 years ago

Michuzi

maandalizi ya michezo na Burudani za leo Mjini Dodoma

 Waziri Mkuu Mhe.Mizengo Pinda akizungumza na warembo kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu watakao shindana  usiku wa leo Mei 7, 2014 kumpata Mrembo wa Vyuo Vikuu hapa Nchini.Shindano hili litafanyika katika Hoteli ya Royal Village Mjini Dodoma.Warembo kumi na sita watapanda jukwani kumtafuta mshindi.  Nahodha wa Timu ya Bunge, Mhe. Iddi Azzan (wa pili kulia)  akipokea Jezi zitakazo tumiwa na Timu ya Soka Bunge kutoka kwa Meneja Mkuu Uendeshaji wa Bank ya ACB, Bi. Juliana Swai,wengine pichani...

 

11 years ago

GPL

SOMA CHAMPIONI JUMAMOSI KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI

SOMA CHAMPIONI JUMAMOSI kwa stori na makala kibao za uchambuzi wa michezo ndani na nje ya nchi, kujua nini kinaendelea nchini Brazil katika Fainali za Kombe la Dunia 2014, wanasoka na wasanii wa zamani waliotamba na kutoweka!

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli amteua Nape Wizara ya Michezo

nape1NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

RAIS wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, ametangaza Baraza la Mawaziri na kumteua Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo.

Awali kabla ya uteuzi wa jana wa Serikali ya Awamu ya Tano, wizara hiyo ilikuwa chini ya mbunge wa kuteuliwa Dk. Fenella Mukangara na Naibu Waziri wake Juma Nkamia ambaye ni Mbunge wa Chemba.

Akitangaza baraza hilo jana jijini Dar es Salaam, Rais...

 

10 years ago

Michuzi

Timu ya Michezo ya Wizara ya Habari ,Vijana,Utamaduni na Michezo ya haswa kuwa mfano katika mashindano ya SHIMIWI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akimkabidhi zawadi Mwanamichezo aliyeiletea Wizara ushindi katika mashindano ya SHIMIWI na Meimosi mwaka jana Bibi. Niuka Chande. Mchezaji huyo aliibuka mshindi katika michezo ya Draft na kurusha Tufe na kuiletea Wizara vikombe viwili. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Profesa Elisante Ole Gabriel na Mwenyekiti wa Timu ya Wizara Dkt. Margareth Mtaki.Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni...

 

10 years ago

GPL

TIMU YA MICHEZO YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO YA HASWA KUWA MFANO KATIKA MASHINDANO YA SHIMIWI

Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasirimali Watu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Titus Mkapa akimkaribisha Mwenyekiti wa timu ya Wizara HUM Sports Club (hayupo pichani) ili atoa salama za wachezaji kwa mgeni rasmi wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wachezaji wa timu hiyo leo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (HUM Sports Club) Dkt. Margareth Mtaki...

 

11 years ago

Michuzi

Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola yakaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow

Waogeleaji wa Tanzania Mariam Foum, Hilal Hemed na Ammaar Ghadiyali wakiwa tayari kwa michuano jijini Glasgow. Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola imekaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow,  Uskochi.Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola imekaribishwa rasmi leo kayika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow,  Uskochi.

 

9 years ago

MillardAyo

Pichaz 7 za Mbwana Samatta alivyokutana na waziri wa michezo Nape Nnauye wizarani Dec 30 …

December 30 ilikuwa ni siku ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kukutana na uongozi wa wizara ya habari, vijana, utamaduni, burudani na michezo Nape Nnauye. Mshambuliaji huyo ambaye anahusishwa kwenda kucheza soka la kulipwa katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji […]

The post Pichaz 7 za Mbwana Samatta alivyokutana na waziri wa michezo Nape Nnauye wizarani Dec 30 … appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya dakika 10 ya Mbwana Samatta akichukua baraka za waziri wa michezo Nape Nnauye kuelekea Tuzo za CAF

December 30 mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Ally Samatta aliomba kuonana na waziri wa habari, vijana, wasanii na michezo Mh Nape Nnauye ili kuomba baraka za kuelekea Abuja Nigeria January 7 katika kilele cha utolewaji wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika […]

The post Video ya dakika 10 ya Mbwana Samatta akichukua baraka za waziri wa michezo Nape Nnauye kuelekea Tuzo za CAF appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani