KASI YA BRUCE LEE ILIVYOWAPA TABU WATENGENEZA FILAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-u8e6_NV0qQc/VYwSfLyLfpI/AAAAAAAACQQ/DmQ09GFhU2Q/s72-c/bruce-lee-kick-way-of-the-dragon-1972.jpg)
Muigizaji wa zamani ambaye pia alikua mmoja kati ya watu walioumudu vizuri mchezo wa kung fu marehemu Bruce Lee ambaye alifariki 20th July. 1973 alikua na kitu zaidi cha kipekee ambacho wengi hawakifahamu. Bruce Lee alikua anauwezo wa kupigana kwa kasi sana kiasi cha kufanya watengeneza filamu kulazimika kuweka slow motion kwenye baadhi ya sehemu za filamu ili mtazamaji aweze kuona kitu kilichofanyika.
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports,...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi06 Jul
SOKO LA FILAMU NA MUZIKI LAPOROMOKA KWA KASI NCHINI
![SAM_3481](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/ZefivX_aoDottKBoexcdNKJtaDphMuSK6PWbBZca7KSaWkKNB0qU60ppR3UnD4qV-tZcUaIyIpz9jS0jkoz3VRVrXg1x8jVydxOzxr3bRLbAzIM=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3481.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-w2RDBG9Mj8Q/VRAY1sF9UfI/AAAAAAAAb_Y/KVnIIMxQJWQ/s72-c/singapore2.jpg)
President Kikwete sent's a condolence message to H.E. Lee Hsien Loong, Prime Minister of Singapore following the death of his father and founding Prime Minister of Singapore, the late Mr. Lee Kuan Yew.
![](http://1.bp.blogspot.com/-w2RDBG9Mj8Q/VRAY1sF9UfI/AAAAAAAAb_Y/KVnIIMxQJWQ/s1600/singapore2.jpg)
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Bruce Jenner sasa ajiita Caytlin
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Steve Bruce: Pointi zaidi zinahitajika
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZFVQGyC-7Kho2heEVMIHj5ralzv8bKMiUDDuTxPhr*RDlrYh7AGIsQJ2JLxdwr1ehm6jWIw2c2z8bwPrKAGtu*FRc0jeCXuR/LOWASSA2.jpg?width=650)
UCHAGUZI 2015, NI MWAKA WA TABU
5 years ago
SB Nation19 Feb
‘The Bachelor’ recap: Bruce Pearl gets better hometown than Victoria F.