Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KASI YA BRUCE LEE ILIVYOWAPA TABU WATENGENEZA FILAMU

Muigizaji wa zamani ambaye pia alikua mmoja kati ya watu walioumudu vizuri mchezo wa kung fu marehemu Bruce Lee ambaye alifariki 20th July. 1973 alikua na kitu zaidi cha kipekee ambacho wengi hawakifahamu. Bruce Lee alikua anauwezo wa kupigana kwa kasi sana kiasi cha kufanya watengeneza filamu kulazimika kuweka slow motion kwenye baadhi ya sehemu za filamu ili mtazamaji aweze kuona kitu kilichofanyika.


Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports,...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SOKO LA FILAMU NA MUZIKI LAPOROMOKA KWA KASI NCHINI

SAM_3481Aliyesimama ni Mwenyekiti wa Taifa wa umoja wa wasambazaji wa kazi za Sanaa nchini, yaani ‘Tanzania Audio Visual Works Distributors,’ Baraka Nyanda akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha  juu ya kushuka kwa ubunifu miongoni mwa wasanii nchini ambako kumepelekea uwepo wa sinema na miziki hafifu isiyoweza kustahimili ushindani wa soko la kazi za burudani duniani anayefatia ni katibu wa shirika hilo Frank Martin, watatu ni James Mollel katibu tawi la Arusha pamoja na Gabriel Simbeye,...

 

10 years ago

Michuzi

President Kikwete sent's a condolence message to H.E. Lee Hsien Loong, Prime Minister of Singapore following the death of his father and founding Prime Minister of Singapore, the late Mr. Lee Kuan Yew.

Prime Minister of Singapore, H.E. Lee Hsien Loong  PRESS RELEASEH.E. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a condolence message to H.E. Lee Hsien Loong, Prime Minister of Singapore following the death of his father and founding Prime Minister of Singapore, the late Mr. Lee Kuan Yew.

The message reads as follows:

“H.E. Lee Hsien Loong,

Prime Minister of Singapore,

SINGAPORE.

Your Excellency and dear brother,

I am writing to extend my deep condolences and...

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.

Lorietha Laurence -Maelezo.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo  ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa  kwa kupata kibali cha kuingia sokoni  kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza  katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza  kampuni ya Al-Riyamy Production  ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za  TRA...

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.

Katibu Bodi ya Filamu Tanzania, Bi. Joyce Fissoo akiongea na wahusijka wa Kampuni ya Kajala Entertainment wakati alipofanya nao mkutano leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwapa Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika filamu ya Mbwa Mwitu.Mkurugenzi wa Kampuni ya Kajala Entertainment, Kajala Masanja akijitetea mbele ya Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania wakati aliitikia wito wa Ofisi ya Bodi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuelezwa juu ya Sheria na Kanuni zilizokiukwa...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI

 Mwenyekiti wa kikosi kazi kutoka chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania,Bw Moses Mwanyilu akionyesha baadhi ya filamu ambazo zinauzwa nchini bila kupata kibali kutoka bodi ya filamu Tanzania na kutokuwa na stika za ushuru za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa mkutano na waandishi wa habari wakielezea changamoto zao kuhusiana na filamu za kitanzania kulazimishwa kukaguliwa na bodi ya filamu na kuwekwa stika za TRA ilhali filamu za nje hazifanyiwi hivyo na kupelekea filamu za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bruce Jenner sasa ajiita Caytlin

Mnamo mwezi Aprili Bruce Jenner alijibadilisha maumbile katika mahojiano na Diane Sawyer wa ABC.

 

10 years ago

BBCSwahili

Steve Bruce: Pointi zaidi zinahitajika

Meneja wa Timu ya Hull city amesema timu yake inahitaji alama zaidi katika michezo yake minne iliyobaki .

 

9 years ago

GPL

UCHAGUZI 2015, NI MWAKA WA TABU

Mgombea urais wa Ukawa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa. Na Mwandishi Wetu NDIYO lugha nyepesi kutamkika katika kipindi hiki ambacho nchi iko kwenye safari ya kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.Vyama vikubwa ni viwili, Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliomsimamisha Dk. John Magufuli na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliomsimamisha Edward Lowassa. Mgombea urais...

 

5 years ago

SB Nation

‘The Bachelor’ recap: Bruce Pearl gets better hometown than Victoria F.

‘The Bachelor’ recap: Bruce Pearl gets better hometown than Victoria F.  SB NationWho Went Home on 'The Bachelor' Episode 8? Peter Weber's Hometown Dates Leads to an Unexpected Elimination  Showbiz Cheat SheetEveryone’s Obsessed With Hannah Ann’s Dad Giving Zero Effs About Peter Weber  Cosmopolitan.comVictoria Fuller's Parents & Family: 5 Fast Facts You Need to Know  Heavy.com'The Bachelor': Peter Weber Isn't Done Calling out His Contestants on Their 'BS'  Showbiz Cheat SheetView Full...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani