Katiba inayojali haki, usawa inasubiriwa
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza kuwa Bunge Maalumu la Katiba litaanza Februari 18, huku akiwataka viongozi wa vyama vya siasa kuweka mbele masilahi ya taifa na siyo ya vyama vyao. Tayari...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Nov
Katiba Inayopendekezwa inasubiriwa kwa hamu -Pinda
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Katiba Inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba ni bora na inasubiriwa kwa shauku kubwa na wananchi ili waipigie kura.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3AWWcK1HZe-vTd6jZVPYu3drG0ScgywA8eYvjU8czEkwUTN-hX4E0E0Iq5LLXoMbidUH*ScpcFwKCsG*hVnsMmt/KaimuMkurugenziMtendajiLilianLiundiwaTGNPMtandaoakizungumza..jpg)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WALIPONGEZA BUNGE LA KATIBA KUONESHA USAWA WA JINSIA
10 years ago
Habarileo05 Apr
Askofu ahimiza serikali kusimamia haki, usawa
ASKOFU wa Kanisa la Africa Inland (AIC) wa Dayosisi ya Pwani, Charles Salalah amesema serikali isiyo na dini ndiyo itakayosimamia haki na usawa katika taifa, kinyume cha hapo inatafuta matatizo.
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Tume yatakiwa kuhakikisha uchaguzi wa haki, usawa
Na Wandishi Wetu, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama imetakiwa kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa haki na usawa kuepuka machafuko yasitokee nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Madola, Goodluck Jonathan, alisema kufanikiwa kwa uchaguzi huo kunategemea kuwapo uwazi, haki na kufuata misingi ya utawala bora.
Alisema ili kuhakikisha amani inakuwapo...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Maendeleo,Haki na Usawa: Nyenzo za usalama, amani EAC
9 years ago
Mwananchi22 Aug
KKKT yataka haki, usawa Uchaguzi Mkuu 2015
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uMG6g5B-pd8/ViRnTjjKxXI/AAAAAAAIAzA/Buf_SBq1JFI/s72-c/790.jpg)
UCHAGUZI UFANYIKE KWA MISINGI YA HAKI NA USAWA- BALOZI SEIF
![](http://4.bp.blogspot.com/-uMG6g5B-pd8/ViRnTjjKxXI/AAAAAAAIAzA/Buf_SBq1JFI/s640/790.jpg)
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba kauli za baadhi ya wanasiasa wakati wanapokuwa majukwaani za kupalilia cheche za kutaka kuibua vurugu zisiwashitue Wananchi kwa vile Serikali itaendelea kuwa makini...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qe-3ZiV_lgc/VgmfeA4vroI/AAAAAAAH7o0/RXSTMVPB7go/s72-c/images.jpg)
Tanzania yatangaza hatua tano za kuendeleza haki za wanawake na usawa wa kijinsia
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://3.bp.blogspot.com/-qe-3ZiV_lgc/VgmfeA4vroI/AAAAAAAH7o0/RXSTMVPB7go/s200/images.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITanzania yatangaza hatua tano za kuendeleza haki za wanawake na usawa wa kijinsia· Yaahidi kufanya mabadiliko makubwa ya kisera na...