KATIBU MKUU ASISITIZA UFUGAJI WENYE TIJA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-0RYL_oJe_ZM/Xmd8zP17XvI/AAAAAAALiYc/xdKBAMz1EvIglmRYd96X7eONsYzhrOqdwCLcBGAsYHQ/s72-c/Ole%2BGabi.jpg)
KATIBU Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof.Elisante Ole Gabriel amewataka wafugaji nchini kuzingatia ubora wa mifugo yao na sio kuangalia zaidi wingi wa mifugo waliyonayo kwa kuwa ubora wa mifugo ndio utakaosaidia kupata mazao yaliyo bora yenye kuwanufaisha kiuchumi.
Alisema kuwa mfugaji akiweza kubadilika na kufuga kisayansi kwa maana ya kufuga kwa tija na akaanza kupata mazao ya mifugo yaliyo bora, ndipo hapo atakapofaidika na kazi yake ya ufugaji.
Katibu Mkuu ametoa wito huo leo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI ASISITIZA UTENDAJI KAZI WENYE TIJA
WATUMISHI wa Jeshi la Magereza wametakiwa kuzingatia utendaji kazi wenye tija mahala pa kazi na kuacha kufanya kazi kwa mazoea(Business as usual).
Rai hiyo imetolewa na Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, John Casmir Minja wakati akizungumza kwenye Baraza la kufunga Mwaka 2015 na kuukaribisha Mwaka mpya 2016 katika Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini, Dar es Salaam.
Jenerali Minja amewaagiza Watumishi wote wa Jeshi hilo kuhakikisha kuwa wanawajibika...
10 years ago
Dewji Blog15 May
Katibu Mkuu TAMISEMI, SAGINI asisitiza uimarishaji wa Elimu
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues akisalimiana na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na. Serikali ya Mtaa (TAMISEMI), Jumanne Sagini alipomtembelea ofisini kwake mjini Dodoma wakati wa ziara ya kikazi ya siku moja ya kukutana na wadau wa elimu walioshiriki mkutano wa kutathmini sekta ya Eimu nchini kwa mwaka 2014 uliofanyika katika kumbi za mikutano Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).(Picha zote na...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0069.jpg?width=650)
KATIBU MKUU TAMISEMI, SAGINI ASISITIZA UIMARISHAJI WA ELIMU
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s1600/3.jpg)
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Usajili wa wachezaji uwe wenye kuleta tija
9 years ago
VijimamboJK AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU NA KATIBU TAWALA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a7N0xoXWXoY/VWXSIvfddiI/AAAAAAAAeAY/AvLtOv6lolE/s72-c/IMG-20150527-WA0013.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE NA BALOZI WA TANZANIA SAUDIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7N0xoXWXoY/VWXSIvfddiI/AAAAAAAAeAY/AvLtOv6lolE/s640/IMG-20150527-WA0013.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ceZl_-FiM1w/VWXW2zZlSOI/AAAAAAAAeA8/G1BiVYu6OLc/s640/IMG-20150527-WA0020.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LZcHyspHyBg/VSuoNEPQrtI/AAAAAAAABLk/uemPb5z0dn8/s72-c/Dr.%2BSlaa%2BAlabama3.jpg)
KATIBU MKUU DK. WILLIBROD SLAA ZIARANI NCHINI MAREKANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LZcHyspHyBg/VSuoNEPQrtI/AAAAAAAABLk/uemPb5z0dn8/s1600/Dr.%2BSlaa%2BAlabama3.jpg)
Ziara hii ya siku tisa ni mwaliko wa Gavana wa Jimbo la Indiana Mike Pence pamoja na taasisi mbalimbali za nchini humo ikiwemo vyuo vikuu kutokana na kutambua mchango wa kisiasa na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VrSdHJ90oWk/VFtZw-VbjiI/AAAAAAAGvtw/HQ5OeGTYOjQ/s72-c/unnamed.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VrSdHJ90oWk/VFtZw-VbjiI/AAAAAAAGvtw/HQ5OeGTYOjQ/s1600/unnamed.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-Kkh0KnCprXQ/VFs67g9uq1I/AAAAAAAArnM/3EcyxZhKp_A/s1600/2.%2Bakijitambulisha%2Bkwa%2Bkinana.jpg)
Balozi wa Rwanda hapa nchini, Eugene Kayihura, akijitambulisha kwa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kabla ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu wa Balozi huyo, Ernest Bugingo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uko3Q_PY814/VFs68wZsAwI/AAAAAAAArnU/9Cty-1DZbfE/s1600/3.%2BWakizungumza.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10