KATIBU MKUU TAMISEMI ATEMBELEA BANDA LA LAPF MAONYESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA SABA SABA

Katibu mkuu wa TAMISEMI Mh. Jumanne A. Sagine akisalimiana na Meneja Masoko na mawasiliano kwa Uma Bwana James Mlowe wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF . Mlowe amemweleza katibu mkuu jinsi LAPF ilivyoweza kuwa mshindi wa kwanza katika utunzaji wa kumbukumbu kwa wanachama katika sekta ya mifuko ya Pensheni na inavyolipa mafao kwa haraka. Pia kutambuliwa na Msimamizi wa mifuko hii kuwa ni mfuko unaokuwa kwa kasi kuliko mifuko yote ya pensheni tanzania
Katibu mkuu wa TAMISEMI Mh. Jumanne A. Sagine...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
BENKI YA EXIM KATIKA MAONYESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABA SABA


11 years ago
GPLMAONYESHO YA 38 YA BIASHARA YAZINDULIWA RASMI SABA SABA
5 years ago
Michuzi
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI atembelea banda la maonesho NHC
Naibu Katibu mkuu Tamisemi, Kagyabukama E.Kiliba akiingia katika banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa leo asubuhi kwenye viwanja vya Maonyesho vya Sabasaba (Mwalimu Nyerere) katika maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa.
Naibu Katibu mkuu Tamisemi ,Kagyabukama E.Kiliba akipata maelezo ya namna kituo cha huduma kwa wateja kinavyofanya kazi kutoka kwa Afisa wa kitengo cha Huduma kwa Wateja, Theresia Muhondo katika banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa leo asubuhi...
10 years ago
MichuziMFUKO WA PENSHENI WA LAPF WASHIRIKI MAONESHO YA SABA SABA 2015
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU KIONGOZI, BALOZI OMBENI SEFUE ATEMBELEA BANDA LA 'NHIF' KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA LEO
11 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
Benki ya Exim yajivunia mafaniko maonyesho ya Saba saba.
Mbali na kutoa ushauri wa kibenki kwa washiriki na wateja wanaotembelea banda la maonyesho ya benki hiyo, benki hiyo pia imeweka mashine ya ATM...
11 years ago
GPLGLOBAL NA PICHA KEDEKEDE ZA MAONYESHO YA SABA SABA DAR