KATIBU MKUU WA CCM AMNADI RIDHIWANI KIKWETE KATIKA KATA ZA UBENA ZOMOZI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-MlChcIhmb5E/UzBW4pxXo8I/AAAAAAAFV9o/2klp77vwSsw/s72-c/15.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Ndg. Abdulrahman Kinana akiwa amemuinua mkono Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete ikiwa ni ishara ya kumnadi kwa wananchi wa Kata ya Ubena Zomozi huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha,wakati wa Mkutano wa Kampeni za CCM zinazoendelea katika Kata mbali mbali ndani ya jimbo la Chalinze.
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Ndg. Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi na wanaCCM wa Kata ya Ubena...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KATA ZA MWENGE NA MATOPENI KATIKA WILAYA YA LINDI MJINI PIA AKUTANA NA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XB-8BeTflyg/UzRrem4LQ2I/AAAAAAAFW14/aVoizfDezS0/s72-c/1.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA NA KAMPENI KATIKA KATA YA BWILINGU LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-XB-8BeTflyg/UzRrem4LQ2I/AAAAAAAFW14/aVoizfDezS0/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5LLSC1cLJhg/UzRrsSyJOTI/AAAAAAAFW2M/3usfur7Yk4s/s1600/13.jpg)
11 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-lymOQzXlad0/UytOcGvjr1I/AAAAAAAAkq4/53ueCAv0vKo/s1600/1.+Ridhiwani+akiomba+kura+kwa+wananchi+katika+Kijiji+cha+Visakazi,+Kata+ya+Ubena.jpg)
MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, RIDHIWANI AOMBA KURA KATA YA UBENA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P1Xb0gJSQsI/Uz27v90t2LI/AAAAAAAFYR0/Ci1fFicJ6bY/s72-c/32.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AUNGURUMA KATA YA BWILINGU NDANI YA JIMBO LA CHALINZE LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-P1Xb0gJSQsI/Uz27v90t2LI/AAAAAAAFYR0/Ci1fFicJ6bY/s1600/32.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JHa--vPwtD4/Uz28GW4t5OI/AAAAAAAFYSc/FDMqJF4f4ls/s1600/36.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-J9Z8X_rqg-M/Uz278MawsCI/AAAAAAAFYR8/PfCe522vRVs/s1600/23.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/227.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE APIGA KAMPENI KATIKA KATA YA FUKAYOSE JIMBONI CHALINZE