Kesi ya IPTL kupinga maazimio ya Bunge leo
Kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Kampuni za IPTL, Pan Africa Power Solutions(T) Limited na Harbinder Singh Seth katika Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga maazimio ya Bunge kuhusu Akaunti ya Tegeta Escrow, itaanza kusikilizwa leo baada ya kupangiwa majaji watatu.
Mwananchi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania