Kesi ya Mkuu Chuo cha Uhasibu Sept 22
HAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Arusha, Mustapher Siyan amesema kuwa kesi inayomkabili Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha, Profesa Johannes Monyo na wenzake saba itaanza kusikilizwa Septemba 22 mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Jul
MAMIA WAMUAGA ALIYEKUWA MHADHIRI MWANDAMIZI WA CHUO CHA UHASIBU DAR ES SALAAM(SASA TAASISI YA UHASIBU TANZANIA) JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://3.bp.blogspot.com/-3FvDjqPdnng/U9VIpXDi-NI/AAAAAAACzvw/xGx8-QGxyvs/s1600/image.jpeg)
11 years ago
Habarileo06 Jul
Vigogo Chuo cha Uhasibu kizimbani
MKUU wa Chuo cha Uhasibu Arusha, Profesa Johannes Monyo na wenzake saba wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha wakituhumiwa kwa makosa manne tofauti yakiwemo ya uhujumu uchumi na kuisababishia hasara serikali kiasi cha Sh 6,258,448.60.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x0l7w5j7XSA/VmqiCkM0D-I/AAAAAAAADQc/owQRxx6bMmo/s72-c/felister.jpg)
MAHAFALI CHUO CHA UHASIBU KURASINI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-x0l7w5j7XSA/VmqiCkM0D-I/AAAAAAAADQc/owQRxx6bMmo/s640/felister.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-48kz920ia7w/Vmqkfjr761I/AAAAAAAADQo/u9scetzlAVQ/s640/jane%2Bna%2Bedna.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-heJQ1h52KMUMf6BIV1M2iSkkPtG5UaJbRkrlhS-e3zChmwhmVWNo7eQVISGfZJgCekG1U5-Rt3yn-eNcLVuYkT3/11129626_1193267037354379_7095297692473874874_n.jpg)
POLISI WAKANUSHA TISHIO LA MAGAIDI KUSHAMBULIA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Mahafali ya 12 ya Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA) yafana, jijini Dar es Salaam
Kikosi cha band cha Jeshi la Magereza kikiongoza maandamano kuelekea uwanjani kwenye mahafali hayo.
![5](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/52.jpg)
10 years ago
GPLMAHAFALI YA 12 YA CHUO CHA UHASIBU TANZANIA (TIA) YAFANA, JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Habarileo20 Sep
Uchaguzi mkuu chama cha albino Sept.26
WAJUMBE wa Chama cha Watu wenye Ulemavu wa Ngozi (TAS) mkoani Morogoro wanatarajia kufanya uchaguzi mkuu Septemba 26, mwaka huu kwa ajili ya kupata safu ya viongozi kwa kipindi cha miaka mitano hadi 2020.
10 years ago
Habarileo14 Aug
Kesi ya Mkuu wa Chuo Njiro yaahirishwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imeahirisha kesi inayomkabili Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Njiro (IAAA), Johannes Monyo na wenzake 10 na kuipanga leo kwa ajili ya washitakiwa kusomewa maelezo ya awali.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WgpWioAR53w/UwYsSw-NyzI/AAAAAAAFOZE/16W4dETObpM/s72-c/unnamed.jpg)
MKUU WA CHUO CHA CBE ATOA UFAFANUZI KUHUSU HABARI ZILIZOCHAPISHWA KWA LENGO LA KUUPOTOSHA UMMA KUHUSU CHUO CHAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WgpWioAR53w/UwYsSw-NyzI/AAAAAAAFOZE/16W4dETObpM/s1600/unnamed.jpg)
Na. Aron Msigwa – MAELEZO.
Mkuu wa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kampasi ya Dar es salaam Prof. Emanuel Mjema amesema kuwa habari zilizoandikwa na kuchapishwa na gazeti moja la kila siku na baadhi ya mitandao ya kijamii...