KHADIJA OMAR KOPA: Malkia wa mipasho miaka 21 Tanzania
JINA la Khadija Omar Abdallah Kopa si geni masikioni mwa wapenda burudani hususan ya miondoko ya taarabu, ambaye ana mchango mkubwa katika kubadilisha muziki huo kutoka enzi za nyuma na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGhGG**YGZj*aNYEQ8Npca8Zp50BkoNZTeVJ2HLcLJOKLvKdEoVTDhxjdjoAFwx1mw*YcHFaywJmkdfjRcGqpbiT/Kopa.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA-9
ILIPOISHIA..
Mbele yake kasimama mwanaume wa Kipemba, yupo hapo kwa kuwa alikuwa akihitaji kuwa mpenzi wake na mwisho wa siku amuoe. Kwa Khadija, kumkubalia mwanaume kwa wakati huo ilikuwa ngumu kwani bado alikuwa na ndoto za kufika mbali kimuziki.
ENDELEA... Malkia wa mziki wa taarabu, Khadija Omary kopa “Si kwamba ninaogopa, bado kuna mengi ninatakiwa kuyafanya,†nilimwambia.
“Kwani nikikuoa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXbC-0*W7VAdBGzJddR4mdUpZbWCa0x9iD8PqFNTclAqMq05P82luoWi3tthneia0iVtAJQOVH-HdvFMZjzAoV0o/kopa.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA - 5
ILIPOSHIA
Iliishia pale Khadija aliposema kwamba tayari alimaliza kufanya mtihani wa darasa la saba na hivyo kuelekea nyumbani. Huko, akamkuta mama yake, ilikuwa ni furaha mno kwani mapenzi juu ya mama yake yalikuwa makubwa.
ENDELEA.. Malkia wa…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXH1uHcjtGdKUzuSuo8hkVij*pM1LBV*aircmEhz1Tq3fE--bdE8ecltOJBH5fZJaZyDWFTjwz-5MXDhZQaSVvqR/kopa.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA - 7
Bado Khadija Kopa anaendelea kusimulia simulizi ya maisha yake. Yupo shuleni, anatamani kuimba, anapofanya hivyo, wanafunzi hasa wa kike wanaonekana kumuonea wivu na hivyo kumfunja moyo, kitu cha ajabu kwake, wavulana ndiyo waliokuwa wakimfariji, alipoambiwa hajui, wao walimwambia anajua kwani hata mbuyu ulianza kama mchicha.ENDELEA NAYOÖ AZIDI KUKERWA
Ngoja niseme ukweli kwamba kwa maneno ambayo alikuwa akiyazungumza siku...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-vsLnPrdgMjszMOC4-t9Yzaxu33kaafrx3e5PQuisIn6ZowxJU6OZSoazNTObPIGZcYpPsVBGh8VJx18fWy9VF*/kopa.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA-4
ILIPOISHIA
Khadija Kopa alizungumzia hali aliyokuwa nayo mara baada ya kutorokwa na mama yake, Hakuwa na hamu ya kula, hakutaka kuongea na mtu yeyote, mapenzi juu ya mama yake yalikuwa makubwa.
ENDELEA... Malkia wa Taarab nchini, Khadija Kopa. Kama kusoma nilisoma sana japokuwa kila siku mawazo juu ya mama yangu…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o-1NtXzEejI*7TkofW8dnxHnb98PPKj8wVADweECFpwCr*drDnJ7WWuWiYLu1Ni-HoMZb0GyHHRTixuCSMjE-CnpNlyyD0mO/KOPA.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA -6
ILIPOSHIA
“Kuna nini? aliniuliza huku akionekana kutokuelewa chochote.
“Nimefaulu mtihaniâ€.“Unasemaje?â€â€œNimefaulu mtihani bibi,†nilimwambia kwa furaha, bibi akaonekana kuwa na furaha zaidi yangu. Sasa nikamsubiria mama naye nilitaka kumpa taarifa hiyo.ENDELEA.. Malkia wa mipasho bongo, Khadija Kopa Nakumbuka siku hiyo nilikuwa na presha kubwa, nilikuwa nikimsubiria mama kwa shauku...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DtcI2O2Ry7ACH7PB3Ppz5ymjKU5ktAHfuIg1EfmkRo8hv7kaGyCHtSVi6H*MO968wKg*8RNxzuhF2J4BeZO-m2i*bUXYY51Z/KOPA.jpg?width=650)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA
BAADA ya wiki iliyopita kumaliza simulizi tamu ya mwimba Injili mahiri nchini, Bahati Bukuku, wiki hii tunaye malkia wa mipasho Bongo. Si mwingine bali ni Hadija Omar Kopa. Kopa alizaliwa mwaka 1963, Unguja, Zanzibar. Maisha yake yalikuwa ya kawaida sana. Kwa sehemu kubwa alilelewa na bibi yake mzaa mama, aitwaye Biubwa Juma. Katika simulizi hii, Kopa anaanza kusimulia siku alipoanza daraza la kwanza. Malkia wa mipasho Bongo,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_OnH5PPF5Pc/VPMuuae-s8I/AAAAAAAAXT4/ndals8FhGEk/s72-c/k1.jpg)
KHADIJA KOPA NDANI YA MAJONZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-_OnH5PPF5Pc/VPMuuae-s8I/AAAAAAAAXT4/ndals8FhGEk/s1600/k1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3CKZ46cKi8g/VPMvXk-a3AI/AAAAAAAAXUE/mA1QwFEsLJM/s1600/K6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ACye_gQnyQ0/VPMugg62hOI/AAAAAAAAXTo/d3k6-UZNZ3o/s1600/k5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RUozx0-7VtE/VPMughpdkXI/AAAAAAAAXTs/ZjeA7zzz4wM/s1600/k3.jpg)
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Faceboo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMMjUjUnySJjX4YmN8Rekq28T14nqbkZINzJIRtdqJ70UeNDLkdETr5bgKSLAkEfvynNT6sf9mTcI*9gJKcLrYPz/kopa.jpg?width=650)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA - 6
ILIPOISHIA: Bado Khadija Kopa anaendelea kusimulia historia ya maisha yake, kule alipopitia mpaka kuja kuwa mwanamuziki mkubwa wa Muziki wa Mwambao. Wiki iliyopita tuliishia pale alipokuwa akisema namna alivyoingia shuleni na kuanza kidato cha kwanza. Yalikuwa ni maisha mapya lakini hakutaka kukata tamaa.endelea... Sikuwa nimezoea maisha ya shuleni hapo, nilikuwa mkimya sana na kwa kiasi fulani nilianza kunenepa. Hatukuwa na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oOeSEQdEXELyTTSA50zG9vOu7XWpXrIop-YUY5xxIsUQeY1EJYLNWTWcNShXHojeinzwICNXUI1ju20OVKMn1p5/MBOTO.jpg)
MBOTO APAGAWISHWA NA KHADIJA KOPA
Stori: Musa Mateja KOMEDIANI maarufu Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ alijikuta akipagawishwa vilivyo na shoo ya Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa kiasi cha kushindwa kujizuia na kupanda jukwaani kuungana na wacheza shoo wake. Komedian maarufu Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ akiwa jukwaani mara baada ya kupagawishwa vilivyo na shoo ya Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa. Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania