KIANANA AANZA ZIARA MKOANI LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-W-9xc1Hkleg/VGecCQeV41I/AAAAAAAATB4/f7sHfLLmkiI/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikaribishwa wilaya ya Kilwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilwa ndugu Abdala Ulega mara baada ya kuwasili Somanga,Jimbo la Kilwa kaskazini ikiwa ndio siku ya kwanza ya ziara ya siku 16 katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Katibu wa CCM Mkoa wa Lindi Adelina Gefi mara baada ya kuwasili tayari kwa shughuli za kuimarisha chama na kukagua utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM mwaka 2010.
Katibu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Nov
Kinana aanza ziara yake mkoani Lindi, apata mapokezi mazuri Somanga Kilwa
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivalishwa Skafu na vijana na wa Chipukizi wakati alipowasili eneo la Somanga wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi akianza ziara yake ya siku 16 katika mikoa ya Lindi na Mtwara akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza sughuli za maendeleo zinazotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na wananchi, Katibu Mkuu huyo anaongozana naNape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi pamoja na Mjumbe wa NEC mkoa wa Lindi na...
10 years ago
Michuzi15 Nov
KATIBU MKUU WA CCM AANZA ZIARA YAKE MKOANI LINDI, APATA MAPOKEZI MAZURI SOMANGA KILWA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/147.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Nov
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abulrahman Kinana aanza ziara yake mkoani Lindi, apata mapokezi mazuri Somanga Kilwa
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivalishwa Skafu na vijana na wa Chipukizi wakati alipowasili eneo la Somanga wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi akianza ziara yake ya siku 16 katika mikoa ya Lindi na Mtwara akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza sughuli za maendeleo zinazotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na wananchi, Katibu Mkuu huyo anaongozana naNape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi pamoja na Mjumbe wa NEC mkoa wa Lindi na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mgsCUvOxuHs/VCFhRj5A4_I/AAAAAAAARHo/3WYNM3-eUGY/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA MKOANI TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mgsCUvOxuHs/VCFhRj5A4_I/AAAAAAAARHo/3WYNM3-eUGY/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QCU4W9A0UkY/VCFh61DSwSI/AAAAAAAARII/W7JawusXB-w/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana
![](http://4.bp.blogspot.com/-KXfhEIETrGk/VCFiBYPOk-I/AAAAAAAARIQ/PC37WiFlI6Y/s1600/5.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/115.png?width=650)
MH. LUKUVI AANZA ZIARA MKOANI RUKWA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Hs1gtayUV1g/VHJbXB5BAAI/AAAAAAAATuE/G9LTwRvuWEw/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA MKOANI MTWARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hs1gtayUV1g/VHJbXB5BAAI/AAAAAAAATuE/G9LTwRvuWEw/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3VWpxq1wE1w/VHJbjr-W0rI/AAAAAAAATvU/c_6mLK_zAls/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PYSA6is365w/VHJbvSJLKwI/AAAAAAAATwc/322vZyjezs8/s1600/6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
William Lukuvi aanza ziara mkoani Rukwa
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Injinia Stella Manyanya alipowasili uwanja wa ndege wa Sumbawanga kuanza ziara ya kutatua migogoro ya ardhi Mkoani humo.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akimpokea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi alipowasili eneo la Jangwani mjini Sumbawanga kuweka jiwe la msingi katika nyumba za makazi zinazojengwa na NHC kwa...
10 years ago
MichuziDKT. MAGUFULI AANZA ZIARA MKOANI TABORA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X1NiWP5nSQI/VF8PkpvddRI/AAAAAAAGwE0/WuX-IdJ5DYE/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Mh. Jerry Silaa aanza Ziara ya siku 10 Mkoani Simuyu
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1NiWP5nSQI/VF8PkpvddRI/AAAAAAAGwE0/WuX-IdJ5DYE/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_D_KfgkAvBQ/VF8Pk3US8bI/AAAAAAAGwE4/XWTbC3X83Oc/s1600/unnamed%2B(18).jpg)