DKT. MAGUFULI AANZA ZIARA MKOANI TABORA
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sikonge mkoani Tabora wakati alipopita kukagua barabara za mkoa huo. Dkt. Magufuli aliwaahidi wananchi hao wa Sikonge kuwa Serikali itaanza ujenzi wa barabara ya Mpanda-Tabora kupitia Sikonge yenye zaidi ya kilomita 359 itakayofadhili na Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiagana na wananchi wa Sikonge mara baada ya kuwahutubia.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ludovick Mwananzila kushoto akizungumza na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
DKT JOHN POMBE MAGUFULI AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI SINGIDA
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYANI IGUNGA MKOANI TABORA JIONI LEO,KUANZA ZIARA YA SIKU 10 MKOANI HUMO.


10 years ago
Vijimambo
KINANA AANZA ZIARA MKOANI MTWARA



11 years ago
Vijimambo
KINANA AANZA ZIARA MKOANI TANGA


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana

10 years ago
GPL
MH. LUKUVI AANZA ZIARA MKOANI RUKWA
10 years ago
Vijimambo
KIANANA AANZA ZIARA MKOANI LINDI



10 years ago
Dewji Blog27 Mar
William Lukuvi aanza ziara mkoani Rukwa
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Injinia Stella Manyanya alipowasili uwanja wa ndege wa Sumbawanga kuanza ziara ya kutatua migogoro ya ardhi Mkoani humo.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akimpokea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi alipowasili eneo la Jangwani mjini Sumbawanga kuweka jiwe la msingi katika nyumba za makazi zinazojengwa na NHC kwa...
10 years ago
Vijimambo
ZIARA YA MH FREEMAN MBOWE MKOANI TABORA



10 years ago
Michuzi.jpg)
Mh. Jerry Silaa aanza Ziara ya siku 10 Mkoani Simuyu
.jpg)
.jpg)