Kiapo cha moto kwa makatibu
Halfa ya kuapishwa kwa makatibu wakuu na naibu makatibu wakuu 26 iliyofanyika jana Ikulu Jijini Dar es Salaam ilikuwa ya aina yake kutokana na kuapa mara mbili, huku Rais John Magufuli akiwaeleza kuwa asiyeweza kazi “aseme asile kiapo, akae kandoâ€.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Jan
Makatibu wakuu wala kiapo cha maadili hadharani
MAKATIBU Wakuu na Manaibu makatibu wakuu wapya wamekula kiapo cha maadili hadharani, huku wakitahadharishwa yeyote atakayeona anashindwa kufanya kazi kwa mujibu wa kiapo hicho, kukaa pembeni.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-seo3T2PCW_Q/VoYteNT4CgI/AAAAAAAIPoc/EuBX-VtFyfQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
FATILIA LIVE HAFLA YA KUAPISHWA KWA MAKATIBU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU INAYOYANYIKA IKULU HIVI SASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-seo3T2PCW_Q/VoYteNT4CgI/AAAAAAAIPoc/EuBX-VtFyfQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
BOFYA HAPA KUONA LIVE HAFLA HIYO
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Balozi Sefue afungua mkutano wa mwaka wa makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu leo mjini Dodoma
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa faragha wa mwaka cha makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu mapema leo mjini Dodoma. Kaulimbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Nafasi na Wajibu wa Watendaji wa Wakuu wa Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 na Kuingia Madarakani Serikali ya Awamu ya Tano.”
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Gallawa akizungumza kumkaribisha mkoani Dodoma Katibu Mkuu Kiongozi, Makatibu Wakuu,...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xOwMmwpeQjo/VofWqatVh1I/AAAAAAAIP4g/TfAAlXDADYA/s72-c/07cc07734deb965a0c260fd344549b2d%2B%25281%2529.jpg)
BALOZI SEFUE AONGOZA SEMINA ELEKEZI YA SIKU MOJA KWA MAKATIBU WAKUU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU IKULU LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-xOwMmwpeQjo/VofWqatVh1I/AAAAAAAIP4g/TfAAlXDADYA/s640/07cc07734deb965a0c260fd344549b2d%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EW_9heKjo3k/VofTZIxXbSI/AAAAAAAIP3k/j3RDiPoKX_c/s640/32461e58-2202-41b7-ab40-5c9d34cf6987.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9bqIpjBTLLA/VofTgqJNXzI/AAAAAAAIP30/IMj-aapt67s/s640/4f01b802-e7c6-4c2c-92e6-788711775102.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a3bA2icJ1VI/VofThRQ6cTI/AAAAAAAIP34/lSEqqn0HTGg/s640/4fc6420c-51c8-453d-b799-7121f57db92e.jpg)
10 years ago
Vijimambo06 Nov
Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu Wakuu wanne wapya na kuhamisha mmoja.
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/56/COA_Tanganyika_1.jpg/118px-COA_Tanganyika_1.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3z-sGvrcsy8/Va-A_rKCHYI/AAAAAAAHrA4/a-65g-ZwCHY/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA MAKATIBU WAKUU, MAKATIBU TAWALA WA MIKOA NA NAIBU MAKATIBU WAKUU LEO MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3z-sGvrcsy8/Va-A_rKCHYI/AAAAAAAHrA4/a-65g-ZwCHY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yH5rTfyjFA8/Va-A_XtUkII/AAAAAAAHrA0/Vdfh-sdz7hg/s640/2.jpg)
9 years ago
CCM BlogBALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA RASMI SEMINA ELEKEZI KWA MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU MAKATIBU WAKUU IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboTransfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa lateketea kwa moto
![](http://3.bp.blogspot.com/-kE91SlGXns0/VLkDLPvTDSI/AAAAAAAG9zc/EPpxlsoj2l4/s640/IMG-20150116-WA0002.jpg)
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZ.....: Transfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa lateketea kwa moto
![](http://3.bp.blogspot.com/-kE91SlGXns0/VLkDLPvTDSI/AAAAAAAG9zc/EPpxlsoj2l4/s640/IMG-20150116-WA0002.jpg)
Washuhuda wakiangalia Mtambo huo unavyoendelea kuteketea kwa moto mchana huu.