Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kibanda awafunda wanahabari kuhusu Katiba

WAANDISHI wa habari wametakiwa kuifahamu rasimu ya pili ya Katiba ili wasiipotoshe jamii wakati wa kupiga kura ya maoni. Kauli hiyo ilitolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Jukwaa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Makinda awafunda wajumbe wa Katiba

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Anne Makinda amewataka wajumbe wa Bunge la Katiba kuacha kuzomeazomea, badala yake kufanya kazi iliyowapeleka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu awafunda wajumbe Bunge la Katiba

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kujikita zaidi katika mijadala yenye manufaa kwa jamii badala ya kutetea na kulinda masilahi ya vyama vyao. Kauli hiyo ilitolewa jana na Askofu...

 

10 years ago

Vijimambo

MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA

Dar es Salaam, Oktoba 16, 2014
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...

 

11 years ago

Mwananchi

Kikunge awafunda wajumbe #Bunge la #Katiba, ashauri ubinafsi uwekwe kando [VIDEO]

Wakati Bunge Maalum la Katiba likijiandaa kuanza kazi rasmi wiki ijayo, baadhi ya wajumbe wameasa siasa za umimi na chuki binafsi ziwekwe kando.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanahabari andikeni kuhusu mazingira’

MKURUGENZI wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Julius Ningu, amevitaka vyombo vya habari kutoa kipaumbele katika habari zinazohusu mazingira. Wito huo aliutoa jana jijini Dar es Salaam katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanahabari wapewa semina kuhusu magonjwa yasiyoambukiza

Kaimu Mkurugenzi Magonjwa Yasiyoambukiza wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Auson Rwehimbiza (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kwenye semina ya siku moja kuhusu magonjwa yasiyoambukiza. Kulia ni Meneja Mradi Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza (TANCDA).

Kaimu Mkurugenzi Magonjwa yasiyoambukiza wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Auson Rwehimbiza (kulia), akimuelekeza jambo Ofisa Habari wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,...

 

10 years ago

GPL

WANAHABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA‏

Kaimu Mkurugenzi Magonjwa Yasiyoambukiza wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Auson Rwehimbiza (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kwenye semina ya siku moja kuhusu magonjwa yasiyoambukiza. Kulia ni Meneja Mradi Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza (TANCDA. Kaimu Mkurugenzi Magonjwa Yasiyoambukiza wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Auson Rwehimbiza (kulia), akimuelekeza...

 

11 years ago

Habarileo

Shibuda aonya ushabiki wa wanahabari Katiba mpya

John ShibudaMB U N G E wa Maswa M a g h a r i b i , John Shibuda ( C h a d e m a ) , ameviasa vyombo vya habari nchini kuwa makini na aina ya uandishi wa habari za ushabiki ambazo hazijengi nchi, bali zinachochea na kuongeza chuki baina ya makundi yanayokinzana bungeni, hivyo kutofikia maridhiano ya kupata Katiba mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani