‘Wanahabari andikeni kuhusu mazingira’
MKURUGENZI wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Julius Ningu, amevitaka vyombo vya habari kutoa kipaumbele katika habari zinazohusu mazingira. Wito huo aliutoa jana jijini Dar es Salaam katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Wanahabari: Andikeni Habari za VVU na UKIMWI zenye kuleta matumaini
Mshauri na Mkufunzi wa Redio Jamii kutoka UNESCO, Bi. Rose Haji Mwalimu akitoa mada inayohusu mchango wa vyombo vya habari katika kuhamasisha matumizi rafiki ya huduma za kuzuia VVU na Huduma za Afya ya Uzazi kwa Vijana wakati warsha ya siku tatu ya mradi mpya kuhamasisha Vijana kuhusu udhibiti wa Maambukizi mapya ya VVU iliyofanyika hivi karibu katika kituo cha Habari na Mawasiliano Sengerema, Mwanza chini ya mradi wa SHUGA unaoendeshwa kwa pamoja na mashirika ya Umoja wa Mataifa UNICEF...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_0017.jpg)
WANAHABARI: ANDIKENI HABARI ZA VVU NA UKIMWI ZENYE KULETA MATUMAINI
10 years ago
MichuziWANAHABARI KILIMANJARO WATEMBELEA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MOSHI(MUWSA)
Kwa picha zaidi...
10 years ago
Michuzi23 Jan
WANAHABARI WAHIMIZWA KUWASILISHA MASUALA YAHUSUYO WATOTO YATIMA NA WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU
![SAM_0796](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/LbLa6GdJVrDr02GbqGGQijVGkLaNfwFwP-807qcXSux3RDKPxPRxk5fZiHRT9X3wl2R4eoPCtr5vlUhQdloNUp7rl24M3aIB7yPdWMPxZKIM5hqV9B12Q9s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/01/sam_0796.jpg?w=660)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VM7RSHJLWyM/XqkwXfPG43I/AAAAAAALoiU/5ik1Uh43xaQ3YeJVuFxpq8yhrvrAHHfyQCLcBGAsYHQ/s72-c/AA-5-768x345.jpg)
WADAU WA MAENDELEO WEKENI MAZINGIRA RAFIKI KWA WANAHABARI KUTEKELEZA MAJUKUMU KIPINDI HICHI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VM7RSHJLWyM/XqkwXfPG43I/AAAAAAALoiU/5ik1Uh43xaQ3YeJVuFxpq8yhrvrAHHfyQCLcBGAsYHQ/s640/AA-5-768x345.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha .
Imeelezwa kuwa Waandishi wa habari nchini wapo kwenye kipindi kigumu cha kutekeleza majukumu yao wakati huu wa mapambano ya Ugonjwa wa Covid 19 kiuchumi na wadau wametakiwa kujitokeza kusaidia kada hiyo ili iweze kutoa taarifa sahihi na kweli.
Kwa mujibu wa Mdau wa maendeleo jijini Arusha Mwanasheria Maarufu Albert Msando na mmiliki wa The Don ambaye ametoa Barakoa na vitakasa mikono kwa klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Arusha (APC) ikiwa...
11 years ago
Michuzi03 May
WANAHABARI IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI KWA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Kibanda awafunda wanahabari kuhusu Katiba
WAANDISHI wa habari wametakiwa kuifahamu rasimu ya pili ya Katiba ili wasiipotoshe jamii wakati wa kupiga kura ya maoni. Kauli hiyo ilitolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Jukwaa...
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Wanahabari wapewa semina kuhusu magonjwa yasiyoambukiza
Kaimu Mkurugenzi Magonjwa Yasiyoambukiza wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Auson Rwehimbiza (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kwenye semina ya siku moja kuhusu magonjwa yasiyoambukiza. Kulia ni Meneja Mradi Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza (TANCDA).
Kaimu Mkurugenzi Magonjwa yasiyoambukiza wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Auson Rwehimbiza (kulia), akimuelekeza jambo Ofisa Habari wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,...
10 years ago
GPLWANAHABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA