KIBONDE, GARDNER KIZIMBANI TENA
![](http://api.ning.com/files/OcxvxG4wHxaY6A2EthokJ-fR1UhieJXAzAGqOWQeepAtxXtOKedSk0SE8u5bbx-*kK2mazj9ZOHP31pOtCuVP2VSvDXMDi7G/KOBONDENAGADNER2.jpg?width=650)
Watangazaji Ephraim Kibonde (wa pili kushoto) na mwenzake Gardner Habash (wa tatu kulia) wakielekea kizimbani katika Mahakama ya Wilaya Kinondoni jijini Dar. (Picha na Maktaba) WATANGAZAJI Ephraim Kibonde wa Clouds FM na mwenzake, Gardner Habash wa Times FM leo wamepandishwa kizimbani tena katika Mahakama ya Wilaya Kinondoni jijini Dar kwa kusababisha ajali, kutotii amri ya polisi na kutoa lugha ya matusi....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru NewspaperKibonde, Gardner wapandishwa kizimbani
NA JESSICA KILEO
WATANGAZAJI wawili, akiwemo Ephraim Kibonde wa Kituo cha Redio cha Clouds, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, kujibu mashitaka mawili, likiwemo la kumtukana ofisa wa polisi.
Kibonde (42) na Gardner Habash (41), walifikishwa mahakamani hapo jana na kupandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Mfawidhi, Anicieta Wambura.
Wakili wa Serikali Salum Ahamed, alidai kuwa Agosti 9, mwaka huu, katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay, wilayani Kinondoni, washitakiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxZDIsLsGIYQ5eevSDK6lpUeeGsb7e7cKinFoDfJ9CPIZI2tJFg6Qfhdgub0VP9jn*TBQDuwnP8QVcQKgkP1j4Lh/KIBONDE.jpg?width=650)
KIBONDE, GADNA KIZIMBANI
10 years ago
GPLKESI YA KIBONDE, GADNER KUSIKILIZWA TENA NOVEMBA 5 NA 21, 2014
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FqLtVvXU0OjQ7eb*rgb7QMPmDsO5CH3lBq7VVtCBcPv5c8TlLeRhPDZ-fv*C0DJ49lJO0mn5yDMSkmsZLsphAhY/FRONTAMANI1.jpg)
GARDNER KWA HALI HII SASA IDE BASI TENA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zZOffqkaKwxZREOOgvjekx55i8jEtj65j*F56r8wLFz40jfUqrp8zHtLvvRQwX0T0SMXBocmX9C6QvqT6mlHFk9/chid.jpg)
CHID BENZ KIZIMBANI TENA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/v4Ts6wAJqDo*ut8V51bGN2owlZWVoSzUqRTgzMNv4XKk1HebPZmCWtltjck6qEQ4ZiOtEc2phs0cGFmDdQRw*456nsIGX6df/6.jpg?width=650)
WAUMINI MORAVIAN KIZIMBANI TENA
9 years ago
Bongo Movies22 Oct
Madai ya Kumuua Kanumba…Lulu Kizimbani Tena
MAMBO yameiva! Nyota wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ (20) yu mbioni kupanda tena Kizimba cha Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kwa ishu yake ile ya madai ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa msanii wa filamu nchini, marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great’, Amani lina ripoti mkononi.
Kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka ndani ya mahakama hiyo jijini Dar, kesi hiyo ilisimama kwa muda wa mwaka mmoja na zaidi kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO8647OZFUAoBHYkFN9n2jjv7ghdZanj0txZT5EaFwL9CeghAVOFCnImLbH*JurIE57RzcagOLejEGLvCSNzO4Q5/lulu.jpg?width=650)
MADAI YA KUMUUA KANUMBA, LULU KIZIMBANI TENA
11 years ago
GPLLULU APANDISHWA KIZIMBANI TENA, KESI YAKE YAAHIRISHWA