Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIBONDE, GADNA KIZIMBANI

MTANGAZAJI wa Clouds FM, Ephraim Kibonde na mwenzake, Gadna Habash wa Times FM leo wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa kusababisha ajali na kutoa lugha ya matusi. Watangazaji hao wamesomewa mashitaka na Wakili wa Serikali, Salim Mohammed mbele ya Hakimu Aniseta Wambura. Kibonde na Gadna wanadaiwa kutenda makosa hayo Jumamosi ya Agosti 9, mwaka huu saa 12 asubuhi, katika eneo la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Watangazaji Kibonde, Gadna watiwa mbaroni

Watangazaji wawili wa Clouds FM, Ephrahim Kibonde na Gadna Habash wamekamatwa na polisi kwa madai ya kusababisha ajali na kutoa lugha ya matusi kwa polisi.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kibonde, Gardner wapandishwa kizimbani


NA JESSICA KILEO
WATANGAZAJI wawili, akiwemo Ephraim Kibonde wa Kituo cha Redio cha Clouds, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, kujibu mashitaka mawili, likiwemo la kumtukana ofisa wa polisi.
Kibonde (42) na Gardner Habash (41), walifikishwa mahakamani hapo jana na kupandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Mfawidhi, Anicieta Wambura.

Wakili wa Serikali Salum Ahamed, alidai kuwa Agosti 9, mwaka huu, katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay, wilayani Kinondoni, washitakiwa...

 

10 years ago

GPL

KIBONDE, GARDNER KIZIMBANI TENA

Watangazaji Ephraim Kibonde (wa pili kushoto) na mwenzake Gardner Habash (wa tatu kulia) wakielekea kizimbani katika Mahakama ya Wilaya Kinondoni jijini Dar. (Picha na Maktaba)
WATANGAZAJI Ephraim Kibonde wa Clouds FM na mwenzake, Gardner Habash wa Times FM leo wamepandishwa kizimbani tena katika Mahakama ya Wilaya Kinondoni jijini Dar kwa kusababisha ajali, kutotii amri ya polisi na kutoa lugha ya matusi....

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo Movies

Gadna: Sikubali Ndoa Yangu na Jack Ivunjike!

Mume wa mwigizaji Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’, Gadna Dibibi amefunguka kuwa kamwe hawezi kukubali ndoa yake ivunjike kirahisi, atapambana hadi dakika ya mwisho.Kauli hiyo ya Gadna ameitoa ikiwa ni siku chache tangu vyombo vya habari viripoti kuwa wawili hao waliooana mwaka 2013, wamemwagana na kila mtu anaishi kivyake.

“Sijampa talaka Jack hivyo bado ataendelea kuwa mke wangu halali, nitahakikisha hilo linabaki kuwa hivyo. Kama kupishana kauli, tulipishana na ni vitu vya kawaida lakini...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA JACQUELINE PENTZEL NA GADNA DIBIBI IMEVUNJIKA!

Na Mwandishi Wetu/Ijumaa
NDOA iliyodumu kwa miaka miwili na nusu kati ya mwigizaji wa filamu Jacqueline Pentzel na Gadna Dibibi imevunjika, Ijumaa lina mkanda kamili. Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel. Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao waliachana baada ya kutuhumiana kutoka nje ya ndoa yao, jambo ambalo baada ya kuvumiliana kwa muda mrefu, hatimaye wameamua kubwaga manyanga. Inadaiwa kwamba kwa zaidi ya...

 

11 years ago

GPL

UNDANI KIBONDE ALIVYOTIWA MBARONI

Stori: Shakoor Jongo WIKIENDI iliyopita haikuwa njema kwa mtangazaji Ephraim Kibonde baada ya kutupwa nyuma ya nondo katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay jijini Dar kwa msala wa kudaiwa kugonga gari na kutoa lugha ya matusi, Ijumaa Wikienda lina full stori. Mtangazaji Ephraim Kibonde akidhibitiwa na Polisi wa usalama barabarani maeneo ya Mwenge. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini cha habari ambacho kimeshuhudia sakata hilo...

 

11 years ago

Mtanzania

Kibonde, Gadner watiwa mbaroni

Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde

Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde

NA ELIZABETH HOMBO

WATANGAZAJI maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde na Gadner G. Habash, wametiwa mbaroni katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay, jijini Dar es Salaam baada ya kudaiwa kusababisha ajali na kukaidi amri ya askari wa usalama barabarani.

Kibonde ambaye amejizolea umaarufu kupitia kipindi cha ‘Jahazi’ kinachorushwa na kituo cha redio cha Clouds Fm akiwa na mtangazaji mwenzake wa Radio Times, Gadner, walikutwa na mkasa huo jana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani