Gadna: Sikubali Ndoa Yangu na Jack Ivunjike!
Mume wa mwigizaji Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’, Gadna Dibibi amefunguka kuwa kamwe hawezi kukubali ndoa yake ivunjike kirahisi, atapambana hadi dakika ya mwisho.Kauli hiyo ya Gadna ameitoa ikiwa ni siku chache tangu vyombo vya habari viripoti kuwa wawili hao waliooana mwaka 2013, wamemwagana na kila mtu anaishi kivyake.
“Sijampa talaka Jack hivyo bado ataendelea kuwa mke wangu halali, nitahakikisha hilo linabaki kuwa hivyo. Kama kupishana kauli, tulipishana na ni vitu vya kawaida lakini...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWl-INXjBR6bFyKpM1svH-dOxTObpu4U*lqz2vPDiJZz1YO*NiELsK5biZjpv9SlJEyJ02xTr3RaLULWc2HvQ-wh/jack.jpg)
MUME:SIKUBALI NDOA YANGU NA JACK IVUNJIKE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ*sDEWMHuykbZBk2lZNwAyndl0FlHncga0rS1upkh6roq7Frklh-aAvqyYdxaWly*H3FoeZZ-jmdDyHlhzknYSp/Jack.jpg)
NDOA YA JACQUELINE PENTZEL NA GADNA DIBIBI IMEVUNJIKA!
10 years ago
Bongo Movies22 Feb
Jack: Sitaki Tena Ndoa!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ ameamua kufunguka na kuweka wazi kuwa hayuko tayari kuolewa tena hii ni baada ya kupewa talaka na aliyekuwa mumewe, Gadna Dibibi.
Jack alisema, kwa muda aliodumu kwenye ndoa ameshaona raha na karaha yake hivyo suala la kuolewa tena sasa hivi halipo akilini mwake.
“Katika ndoa lazima kuwe na mabaya na mazuri, hata hivyo siwezi kusema ndoa ni chungu hapana, ila mimi kwa sasa hivi nimeona nipumzike kwanza sitaki tena ndoa labda...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
JACK CHUZ ATAMBIA NDOA YAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3vnV5j0IkopPifHY4pwyvZD93f1KnP35q8I72jAXPQ9OngxwlSwcTpkzoD20QiB0lUyBOVSjDpKLhpCEqQMmHvk/Jack.jpg)
JACK PENTEZEL: SITAKI TENA NDOA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMvHH3wRLwwJm*wv1SM*z4Nj5LZes9pTdRTgk6wNdRx5GQDKXxZK1Qm-PTHTvCmMOPwT--GjUFmUv47aXLzLFqTp/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
JACK WA CHUZ: NDOA SIYO ISHU
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Mzazi mwenza achokonoa ndoa ya Jack Chuz
Na Gladness Mallya
KERO! Baada ya kurudiana na mumewe Gardner Dibibi, msanii wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel maarufu kama Jack Chuz, mzazi mwenza wa mume wake anadaiwa kuichokonoa ndoa yao hivyo kumpa kero.
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba, Jack Chuz na mumewe wamekuwa wakitibuana chanzo kikiwa ni mwanamke aliyezaa na mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina moja la Mariamu, kwani amekuwa akiwafuatilia kila wanachokifanya huku akiendelea kumsumbua Dibibi akitaka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-5YwiIyenR9vCdRRVKM0C--MvVRxjDokoVAqUv-pKw2uJ4UmVoUjbpzJYjjk3EFqPhARkYkRQTtCr0DS-qIQZt3xnR4HErvD/Jack.jpg?width=650)
JACK DUSTUN: NAISHI NA MCHUMBA KUJIANDAA NA NDOA
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Nilivyoivunja Ndoa Yangu na Shetani – 3
ILIPOISHIA:
Maisha yaliendelea, nakumbuka siku moja tukiwa tumelala majira ya saa saba usiku nyumba yetu ilivamiwa na maaskari. Emma Mo pamoja na mimi tulichukuliwa juujuu na kupelekwa polisi usiku huo huo. Kwa upande wangu sikujua tumechukuliwa kwa sababu gani.Kabla ya kutuchukua walifanya upekuzi mzito kitu kilichonishangaza na kujiuliza kuna nini.
SASA ENDELEA…
Tulipofika polisi tulitenganishwa kila mmoja aliwekwa sehemu yake, tulilala pale hadi asubuhi. Kesho yake majira ya saa tano...