Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kichupa cha leo Yohana ft Young Killer- Uhai wangu

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Msiba wa Geez Mabovu: Young Killer aahirisha kuachia video ya 13 leo

Young Killer ametangaza kuaharisha kuachia video ya wimbo wake ’13’ aliomshirikisha Fid Q kufuatia msiba wa rapper Geez Mabovu uliotokea jana usiku. Video hiyo ilikuwa iachie Alhamis hii. Kupitia Instagram, Killer amesema video hiyo sasa itaachiwa Ijumaa ijayo. Kuna taarifa kuwa Geez anaweza kuzikwa leo kwao mjini Iringa.

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Sikiliza kipindi cha Chill na Sky wiki hii kikiwa na Young Killer

Kwenye Chill na Sky wiki hii, Sky amepiga story na rapper Young Killer. Kuna mengi mchizi kayaongea kuhusiana na safari yake muziki, maisha baada ya kuhamia Dar, mafanikio aliyoyapata hadi sasa, uhusiano wake na mpenzi wake Halimaty Adam aka Miss Hip Hop, na issue zingine kibao. CHILL NA SKY INASIKIKA PIA KUPITIA: ABM Radio (Dodoma) […]

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa

Baada kuwa kimya kwa takribani miaka miwili, Kundi la Mtu Chee lililokuwa linaundwa na rappers watatu, Ibrahim Mandingo a.k.a Country Boy, David Genzi a.k.a Young Dee pamoja na Boniventure Kabogo a.k.a Stamina linarudi rasmi likiwa na mabadiliko. Country Boy Member na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo Country Boy amesema kuwa Mtu Chee imepata member […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani