Kigoda Cup kuanza leo
MICHUANO ya soka na netiboli kuwania Kombe la Kigoda yanatarajiwa kuanza jioni ya leo kwenye Uwanja wa Azimio wilayani Handeni yakitanguliwa na hafla ya ufunguzi kuanzia majira ya saa 4...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Kigoda Cup kutimua vumbi Juni Mosi
TIMU 24 za soka na kumi za netiboli zinatarajiwa kutimua vumbi katika Uwanja wa Azimio wilayani Handeni, mkoani Tanga kuwania Kombe la Kigoda kuanzia Juni Mosi. Mashindano hayo yaliyoanzishwa na...
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Kagame Cup Kuanza Agosti 8
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Kilolo Cup kuanza Juni
MASHINDANO ya kuwania Kombe la Mbunge wa Kilolo mkoani Iringa, Profesa Peter Msola, yanayojulikana kama ‘Kilolo Cup’ yanatarajiwa kuanza katika tarafa zote katikati ya Juni mwaka huu. Akizungumza na Tanzania...
9 years ago
Michuzi14 Oct
MWILI WA DR KIGODA KUWASILI LEO NCHINI
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/aYXCtMiM1SrR4T-dKZInezrtNLUhQOv67Vj0gf9ayhrpBoaJ7l3YZIXzqp2G7TNKuuFV7nkK_aMgBQ2HqkudW9Mj1hHz07gXIqrmb4aTZEXzE4Gn38gHx-wlYvT89ju55rip96p7isqjFrFQiraMosGeyLbdR-0MarFXB-MER-F5xLjF6saM=s0-d-e1-ft#http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2911698/highRes/1146707/-/maxw/600/-/114434kz/-/Abdallah+Kigoda+Photo.jpg)
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dk Abdalala Kigoda aliyefariki nchini India unatarajia kuwasili leo mchana tayari kwa ajili ya mazishi.
Ofisa habari wa Bunge, Prosper Minja ameiambia Mwananchi kuwa mwili huo utawasili saa nane mchana kwa ndege ya Emirates na kwenda kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya jeshi ya Lugalo.
Minja amefafanua kuwa shughuli za kuaga mwili huo zitafanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee kuanzia saa mbili...
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI MACHI 29
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-REL-UCw7-N0/Vh-2SDfn9dI/AAAAAAAIAGc/gfy-DrtlVKU/s72-c/IMG-20151015-WA0038.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUMZIKA DK.KIGODA HANDENI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-REL-UCw7-N0/Vh-2SDfn9dI/AAAAAAAIAGc/gfy-DrtlVKU/s640/IMG-20151015-WA0038.jpg)
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP 2014 KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI MACHI 29
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xRm9UNPlQ7s/U_YU_WgeWxI/AAAAAAAGBNo/6WwnSZpwVUk/s72-c/unnamed.jpg)
Mh. Kigoda afungua maonyesho ya bidhaa zinazozalishwa nchini China leo jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-xRm9UNPlQ7s/U_YU_WgeWxI/AAAAAAAGBNo/6WwnSZpwVUk/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LeiXwld-phc/U_YU351mhgI/AAAAAAAGBM4/571j1gbbD8E/s1600/unnamed%2B(94).jpg)