KIJANA EDIMUND JOSEF ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
FAMILIA ya Josef Antoni Mloka inatangaza kupotelewa na kijana wao Edimund Josef (Pichani) mwenye umri wa miaka 23 mara ya mwisho aliondoka nyumbani Julai 3 mwaka huu akiwa amevaa fulana ya rangi ya kijani na modo ya jinsi ya rangi ya bluu tangu siku hiyo tunamtafuta bila mafanikio.
Edimund Josef ni mrefu wa wastani kwa rangi ni maji ya kunde anaupungufu wa akili alikua anaishi Kimara Bonjokwa kwa Mashiringi mtaa wa mjumbe Ally Wila jijini Dar es Salaam.
Amesoma shule ya Msingi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_lLITEcPF8o/U8ZiurAkz8I/AAAAAAAF2tU/IsDjezrFA70/s72-c/IMG-20140716-WA0000.jpg)
MTOTO ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-_lLITEcPF8o/U8ZiurAkz8I/AAAAAAAF2tU/IsDjezrFA70/s1600/IMG-20140716-WA0000.jpg)
Tunawaomba Watanzania na watu wote mtusaidie kumtafuta mtoto wetu. Maneno yanayosemwa kwamba kachukuliwa na baba yake si ya kweli kwani mimi ndiye baba yake mzazi na tunaishi pamoja na mke wangu.
Asanteni sana kwa msaada wenu na Mungu awabariki.
![](http://4.bp.blogspot.com/-10qH2Fj-ndk/U8Zj2y52sYI/AAAAAAAF2tg/vAw_5olN6uY/s1600/IMG-20140716-WA0001.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wXm8jmQncmA/VjChSF0I61I/AAAAAAAIDKA/wWQW3dD64-8/s72-c/unnamed.png)
Mtoto Amepotea, anatafutwa na wazazi wake
![](http://1.bp.blogspot.com/-wXm8jmQncmA/VjChSF0I61I/AAAAAAAIDKA/wWQW3dD64-8/s1600/unnamed.png)
Miaka: 12, mweupe
Kawaida anaishi na babu mzaa mama yake kijiji cha Kikore wilayani Babati Mkoa wa Manyara. Anasoma Kikore shule ya Msingi darasa la saba.Alitoweka nyumbani kwa babu yake tarehe 16/10/2015, mida ya saa nane mchana akiaga anaelekea sokoni.
Atakayemuona atoe taarifa kituo cha Polisi kilicho karibu nae au piga simu 0717924389 (Asha Mlei – Mama Mzazi; CCBRT, DSM)/0683075536 (Mzee Ally Kature Ally – Babu)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j0YfzuGRgjM/VmlmsipfPoI/AAAAAAAILb0/1iDj4D-tSsg/s72-c/pics%2Bevelina%2Bedwin.jpeg)
MTOTO HUYU ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-j0YfzuGRgjM/VmlmsipfPoI/AAAAAAAILb0/1iDj4D-tSsg/s400/pics%2Bevelina%2Bedwin.jpeg)
Kwa mujibu wa mzazi wa mwanafunzi huyo, Joyce Nchimbi, alisema mtoto huyo alitoweka nyumbani miezi mitatu iliyopita akiwa amevaa nguo hiyo.
Alisema mara ya mwisho alionekana mitaa ya Railways akiwa na wanafunzi wenzake lakini baada ya hapo hajaonekana tena.
Joyce alisema juhudi za kumtafuta mtoto huyo kwa ndugu na jamaa hazikufanikiwa na kutoa taarifa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WaTcdElurT4/VcTTODG0TAI/AAAAAAAHvNQ/4fGCnEci3Ko/s72-c/Untitled.png)
MSAADA TUTANI: MTOTO NAELIJWA LUTHER KIMBWEREZA AMEPOTEA NA ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-WaTcdElurT4/VcTTODG0TAI/AAAAAAAHvNQ/4fGCnEci3Ko/s640/Untitled.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfh67JJ6GsT07r6R9fMxcYMhvz0Ch1nKiDWBtDUNVJz-t7o6OkgtHRecIpVldvuA0ECUWKEowwhie8MH5nMaybMT/vvvvvv.jpg?width=650)
HOFU YATANDA KIJANA ALIYEUA WAZAZI WAKE
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ITgljCobEJA/U8FT9Oy84CI/AAAAAAAF1j8/3bG6I7gIMJM/s72-c/unnamed+(12).jpg)
KIJANA IBRAHIM SAID ANATAFUTWA NA NDUGUZE
![](http://1.bp.blogspot.com/-ITgljCobEJA/U8FT9Oy84CI/AAAAAAAF1j8/3bG6I7gIMJM/s1600/unnamed+(12).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ClBtqEGWsyg/U8FUiNDY_pI/AAAAAAAF1kE/rTmuc9UveHY/s1600/unnamed+(11).jpg)
Anaitwa IBRAHIM SAID
NI MKOMORO NA HAJUI KUONGEA KISWAHILINI MWANAFUNZI ANASOMA ZOOM POLYTECHNIC COLLEGE, DAR.NI MWENYE UMRI WA MIAKA ISHIRINI.
NI KIJANA MWENYE MATATIFO YA AFYA YA AKILI.
KATOROKA NYUMBANI JUZI ALHAMIS MAJIRA YA ALFAJIRI
Mara ya mwisho Alionekana Maeneo ya Magomeni Mapipa, Dar es salaam, akiwa Amevalia T.shirt Ya Bluu na jeans.
Yeye ni Mwembamba, Mrefu kidogo na ni maji ya kunde. Atakaye Mwona Atoe Taarifa Kituo Cha Polisi Kilicho Karibu.
9 years ago
Vijimambo30 Sep
TANGAZO BWANA GRATIAN EMMANUEL NSHEKANABO ANATAFUTWA NA MJOMBA WAKE.
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Wazazi wamfunga mnyororo kijana kwa miaka mitatu
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Baba anapoingia mitini na michango ya harusi ya kijana wake!
KATIKA hali ya kawaida wazazi wa kijana au binti anayetarajia kuoa au kuolewa wao ndio wanaokuwa mstari wa mbele wa kuhakikisha mtoto wao anafanikiwa vema katika maandalizi ya harusi mtoto...