Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIJANA IBRAHIM SAID ANATAFUTWA NA NDUGUZE


Anaitwa IBRAHIM SAID
NI MKOMORO NA HAJUI KUONGEA KISWAHILINI MWANAFUNZI ANASOMA ZOOM POLYTECHNIC COLLEGE, DAR.NI MWENYE UMRI WA MIAKA ISHIRINI. 
NI KIJANA MWENYE  MATATIFO YA AFYA YA AKILI.
KATOROKA NYUMBANI JUZI ALHAMIS MAJIRA YA ALFAJIRI
 Mara ya mwisho Alionekana Maeneo ya Magomeni  Mapipa,  Dar es salaam, akiwa Amevalia T.shirt Ya Bluu na jeans.
 Yeye ni Mwembamba, Mrefu kidogo na ni maji ya kunde. Atakaye Mwona Atoe Taarifa Kituo Cha Polisi Kilicho Karibu.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KIJANA EDIMUND JOSEF ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE

FAMILIA ya Josef Antoni Mloka inatangaza kupotelewa na kijana wao Edimund Josef (Pichani) mwenye umri wa miaka 23 mara ya mwisho aliondoka nyumbani  Julai 3 mwaka huu akiwa amevaa fulana ya rangi ya kijani na modo ya jinsi ya rangi ya bluu tangu siku hiyo tunamtafuta bila mafanikio.Edimund Josef ni mrefu wa wastani kwa rangi ni maji ya kunde anaupungufu wa akili alikua anaishi Kimara Bonjokwa kwa Mashiringi mtaa wa mjumbe Ally Wila jijini Dar es Salaam. 
Amesoma shule ya Msingi...

 

11 years ago

Michuzi

ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE

Salaam aleikum Ankal na timu nzima ya Globu ya Jamii,
Msaada tutani Ankal, kuna anko wetu amepotea (pichani hapo). jina lake Amir Husein Binyaga ni mkazi wa Kiluvya amewahi kuishi Tanga majani mapana ana umri wa miaka 56 alipotea tangu tarehe 15/05/2014 saa 12 asubuhi hadi leo familia bado inamtafuta taarifa zipo kituo cha Polisi Kibaha, maili moja. Taarifa zozote tutapokea kupitia namba 0754322317 0754273711,0653768329,0718260177.
Shukrani.

 

11 years ago

Michuzi

MTOTO ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE

Mimi Reppyson Ishababaki na mke wangu Elida Fundi. Tunapenda kutoa taarifa ya kupotea kwa mtoto wetu kipenzi Meryline Reppyson. Ameibiwa jana jioni na mtu tusiyemfahamu na hatujampata mpaka sasa hivi.
 Tunawaomba Watanzania na watu wote mtusaidie kumtafuta mtoto wetu. Maneno yanayosemwa kwamba kachukuliwa na baba yake si ya kweli kwani mimi ndiye baba yake mzazi na tunaishi pamoja na mke wangu. 
Asanteni sana kwa msaada wenu na Mungu awabariki.

 

10 years ago

Vijimambo

MLIBERIA WA YANGA ANATAFUTWA ULAYA

Hapa ni magoli yake akiwa na timu yake ya huko Cyprus kabla ya kutua Yanga ya jiji Dar-Es-Salaama.

Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman.
Na Saleh AllyWAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus.
Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini...

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ANATAFUTWA NDOA INATENGENEZWA

JAMANI mu hali gani, najua mko poa, yangu hali  bulibuli, nami ni miongoni mwa watu waliopendelewa na Mwenyezi Mungu kuendelea kuvuta pumzi yake huku nikitabasamu na kuonesha meno yangu mawili ya dhahabu. Wenye kisokolo kwinyu utawasikia ninajishaua, jamani ungelionaje jino langu la dhahabu bila kutabasamu? Ungekuwa utunda hapo ungesema kwa vile umefichwa na nguo zaidi ya tatu na anayetakiwa kuuona ni laazizi wako, japo siku...

 

9 years ago

Michuzi

MTOTO HUYU ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE

MWANAFUNZI Evelina Edwin Kazaura (13), (pichani) wa shule ya msingi Dodoma mlimani, Manispaa ya Dodoma amepotea katika mazingira ya kutatanisha.
Kwa mujibu wa mzazi wa mwanafunzi huyo, Joyce Nchimbi, alisema mtoto huyo alitoweka nyumbani miezi mitatu iliyopita akiwa amevaa nguo hiyo.
Alisema mara ya mwisho alionekana mitaa ya Railways akiwa na wanafunzi wenzake lakini baada ya hapo hajaonekana tena.
Joyce alisema juhudi za kumtafuta mtoto huyo kwa ndugu na jamaa hazikufanikiwa na kutoa taarifa...

 

9 years ago

Michuzi

Mtoto Amepotea, anatafutwa na wazazi wake

Jina: Muhdini Ally Kature
Miaka: 12, mweupe 
Kawaida anaishi na babu mzaa mama yake kijiji cha Kikore wilayani Babati Mkoa wa Manyara. Anasoma Kikore shule ya Msingi darasa la saba.Alitoweka nyumbani kwa babu yake tarehe 16/10/2015, mida ya saa nane mchana akiaga anaelekea sokoni.
Atakayemuona atoe taarifa kituo cha Polisi kilicho karibu nae au piga simu 0717924389 (Asha Mlei – Mama Mzazi; CCBRT, DSM)/0683075536 (Mzee Ally Kature Ally – Babu)

 

10 years ago

GPL

WAZUNGU WASEMA Mliberia Yanga anatafutwa Ulaya

Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman. Na Saleh Ally
WAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus. Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini humo, vimeripoti kuwa Mliberia...

 

9 years ago

Vijimambo

TANGAZO BWANA GRATIAN EMMANUEL NSHEKANABO ANATAFUTWA NA MJOMBA WAKE.

Mr. Edward Ntoroma wa State House Tanzania, pamoja na Bi. Puwu Kagumsa wa Bukoba Tanzania wanamtafuta Ndugu yao Mr. Gratian Emmanuel Nshekanabo, Mr. Gratian alikuwa anaishi Miami. FL na kazi alikuwa anafanyia kwenye address hii 3101 Lorna Rd Apt 1322 Birmingham. Mr Gratian hajawahi kuwasiliana na familia yake kwa muda mrefu sasa hadi wamepatwa na wasiwasi. Yeyoye mwenye kujua taarifa ya  Mr. Gratian anaombwa amwambie anatafutwa na familia yake na anaweza kuwasiliana nao kwa #...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani