KIJANA IBRAHIM SAID ANATAFUTWA NA NDUGUZE
![](http://1.bp.blogspot.com/-ITgljCobEJA/U8FT9Oy84CI/AAAAAAAF1j8/3bG6I7gIMJM/s72-c/unnamed+(12).jpg)
Anaitwa IBRAHIM SAID
NI MKOMORO NA HAJUI KUONGEA KISWAHILINI MWANAFUNZI ANASOMA ZOOM POLYTECHNIC COLLEGE, DAR.NI MWENYE UMRI WA MIAKA ISHIRINI.
NI KIJANA MWENYE MATATIFO YA AFYA YA AKILI.
KATOROKA NYUMBANI JUZI ALHAMIS MAJIRA YA ALFAJIRI
Mara ya mwisho Alionekana Maeneo ya Magomeni Mapipa, Dar es salaam, akiwa Amevalia T.shirt Ya Bluu na jeans.
Yeye ni Mwembamba, Mrefu kidogo na ni maji ya kunde. Atakaye Mwona Atoe Taarifa Kituo Cha Polisi Kilicho Karibu.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKIJANA EDIMUND JOSEF ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
Amesoma shule ya Msingi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uMSgK3loT74/U38A43NTXlI/AAAAAAAFkm4/_bgsq_vnvoc/s72-c/IMG-20140523-WA0000.jpg)
ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-uMSgK3loT74/U38A43NTXlI/AAAAAAAFkm4/_bgsq_vnvoc/s1600/IMG-20140523-WA0000.jpg)
Msaada tutani Ankal, kuna anko wetu amepotea (pichani hapo). jina lake Amir Husein Binyaga ni mkazi wa Kiluvya amewahi kuishi Tanga majani mapana ana umri wa miaka 56 alipotea tangu tarehe 15/05/2014 saa 12 asubuhi hadi leo familia bado inamtafuta taarifa zipo kituo cha Polisi Kibaha, maili moja. Taarifa zozote tutapokea kupitia namba 0754322317 0754273711,0653768329,0718260177.
Shukrani.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_lLITEcPF8o/U8ZiurAkz8I/AAAAAAAF2tU/IsDjezrFA70/s72-c/IMG-20140716-WA0000.jpg)
MTOTO ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-_lLITEcPF8o/U8ZiurAkz8I/AAAAAAAF2tU/IsDjezrFA70/s1600/IMG-20140716-WA0000.jpg)
Tunawaomba Watanzania na watu wote mtusaidie kumtafuta mtoto wetu. Maneno yanayosemwa kwamba kachukuliwa na baba yake si ya kweli kwani mimi ndiye baba yake mzazi na tunaishi pamoja na mke wangu.
Asanteni sana kwa msaada wenu na Mungu awabariki.
![](http://4.bp.blogspot.com/-10qH2Fj-ndk/U8Zj2y52sYI/AAAAAAAF2tg/vAw_5olN6uY/s1600/IMG-20140716-WA0001.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/0LeTVNuFh6U/default.jpg)
MLIBERIA WA YANGA ANATAFUTWA ULAYA
Hapa ni magoli yake akiwa na timu yake ya huko Cyprus kabla ya kutua Yanga ya jiji Dar-Es-Salaama.
![](http://api.ning.com/files/6aOMGtxdGe5CielGAm*pxCdtVMosLRf8gWqArjtWMfmjrdc19*CExgzmcf2SZcYZUf5mS8dDY1d59nPeiQG0iQIR1no6Q4Fe/IMG_0275.JPG?width=650)
Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman.
Na Saleh AllyWAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus.
Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini...
Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman.
Na Saleh AllyWAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus.
Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfifQjyqIJ7LAcZbMe6*nU0*QbfOMV1*eND9k-bgL3D8fbDRDUijoMRVUaJ8JUiJh-ItwO83WTQRNwYA875couFu/Happycouplebed008.jpg?width=650)
MWANAMKE ANATAFUTWA NDOA INATENGENEZWA
JAMANI mu hali gani, najua mko poa, yangu hali bulibuli, nami ni miongoni mwa watu waliopendelewa na Mwenyezi Mungu kuendelea kuvuta pumzi yake huku nikitabasamu na kuonesha meno yangu mawili ya dhahabu. Wenye kisokolo kwinyu utawasikia ninajishaua, jamani ungelionaje jino langu la dhahabu bila kutabasamu? Ungekuwa utunda hapo ungesema kwa vile umefichwa na nguo zaidi ya tatu na anayetakiwa kuuona ni laazizi wako, japo siku...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j0YfzuGRgjM/VmlmsipfPoI/AAAAAAAILb0/1iDj4D-tSsg/s72-c/pics%2Bevelina%2Bedwin.jpeg)
MTOTO HUYU ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-j0YfzuGRgjM/VmlmsipfPoI/AAAAAAAILb0/1iDj4D-tSsg/s400/pics%2Bevelina%2Bedwin.jpeg)
Kwa mujibu wa mzazi wa mwanafunzi huyo, Joyce Nchimbi, alisema mtoto huyo alitoweka nyumbani miezi mitatu iliyopita akiwa amevaa nguo hiyo.
Alisema mara ya mwisho alionekana mitaa ya Railways akiwa na wanafunzi wenzake lakini baada ya hapo hajaonekana tena.
Joyce alisema juhudi za kumtafuta mtoto huyo kwa ndugu na jamaa hazikufanikiwa na kutoa taarifa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wXm8jmQncmA/VjChSF0I61I/AAAAAAAIDKA/wWQW3dD64-8/s72-c/unnamed.png)
Mtoto Amepotea, anatafutwa na wazazi wake
![](http://1.bp.blogspot.com/-wXm8jmQncmA/VjChSF0I61I/AAAAAAAIDKA/wWQW3dD64-8/s1600/unnamed.png)
Miaka: 12, mweupe
Kawaida anaishi na babu mzaa mama yake kijiji cha Kikore wilayani Babati Mkoa wa Manyara. Anasoma Kikore shule ya Msingi darasa la saba.Alitoweka nyumbani kwa babu yake tarehe 16/10/2015, mida ya saa nane mchana akiaga anaelekea sokoni.
Atakayemuona atoe taarifa kituo cha Polisi kilicho karibu nae au piga simu 0717924389 (Asha Mlei – Mama Mzazi; CCBRT, DSM)/0683075536 (Mzee Ally Kature Ally – Babu)
10 years ago
GPLWAZUNGU WASEMA Mliberia Yanga anatafutwa Ulaya
Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman. Na Saleh Ally
WAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus. Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini humo, vimeripoti kuwa Mliberia...
9 years ago
Vijimambo30 Sep
TANGAZO BWANA GRATIAN EMMANUEL NSHEKANABO ANATAFUTWA NA MJOMBA WAKE.
Mr. Edward Ntoroma wa State House Tanzania, pamoja na Bi. Puwu Kagumsa wa Bukoba Tanzania wanamtafuta Ndugu yao Mr. Gratian Emmanuel Nshekanabo, Mr. Gratian alikuwa anaishi Miami. FL na kazi alikuwa anafanyia kwenye address hii 3101 Lorna Rd Apt 1322 Birmingham. Mr Gratian hajawahi kuwasiliana na familia yake kwa muda mrefu sasa hadi wamepatwa na wasiwasi. Yeyoye mwenye kujua taarifa ya Mr. Gratian anaombwa amwambie anatafutwa na familia yake na anaweza kuwasiliana nao kwa #...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania