MLIBERIA WA YANGA ANATAFUTWA ULAYA
![](http://img.youtube.com/vi/0LeTVNuFh6U/default.jpg)
Hapa ni magoli yake akiwa na timu yake ya huko Cyprus kabla ya kutua Yanga ya jiji Dar-Es-Salaama.
Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman.
Na Saleh AllyWAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus.
Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAZUNGU WASEMA Mliberia Yanga anatafutwa Ulaya
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NR_XLAtUOvw/VJ11db7aBxI/AAAAAAADSjg/8IZkNuaik3s/s72-c/kpa.png)
SIMBA YAMSHITAKI MLIBERIA WA YANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NR_XLAtUOvw/VJ11db7aBxI/AAAAAAADSjg/8IZkNuaik3s/s1600/kpa.png)
Na Mwandishi WetuYANGA inatarajiwa kujitupa uwanjani keshokutwa Jumapili kukipiga dhidi ya Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini upande wa pili ni kuwa wapinzani wa Wanajangwani hao wanajiandaa kumshitaki mshambuliaji mpya wa Yanga, Kpah Sherman raia wa Liberia ambaye anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus.
Awali gazeti hili liliripoti juu ya straika huyo ambaye amekuwa kipenzi cha mashabiki wengi wa Yanga ndani ya muda mfupi na sasa Simba...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Mliberia atua Yanga, akubali changamoto
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XCoElX7q3j0pX6*YBwlxNDcMoVVLUknLr0rQsi6DF1xG6Foi5HpJfxxF9JW2T2U1fqwhnfraL4*EIwE4eLQZ2JNqTTZqLnY3/Tambwe.jpg)
Tambwe, Mliberia waingia vitani Yanga
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Yanga SC kusaka makali Ulaya
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Mliberia adakwa na Heroine JNIA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uMSgK3loT74/U38A43NTXlI/AAAAAAAFkm4/_bgsq_vnvoc/s72-c/IMG-20140523-WA0000.jpg)
ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-uMSgK3loT74/U38A43NTXlI/AAAAAAAFkm4/_bgsq_vnvoc/s1600/IMG-20140523-WA0000.jpg)
Msaada tutani Ankal, kuna anko wetu amepotea (pichani hapo). jina lake Amir Husein Binyaga ni mkazi wa Kiluvya amewahi kuishi Tanga majani mapana ana umri wa miaka 56 alipotea tangu tarehe 15/05/2014 saa 12 asubuhi hadi leo familia bado inamtafuta taarifa zipo kituo cha Polisi Kibaha, maili moja. Taarifa zozote tutapokea kupitia namba 0754322317 0754273711,0653768329,0718260177.
Shukrani.
9 years ago
MillardAyo23 Dec
TOP 5 Stories: Samatta kapata timu Ulaya, Majabvi kamalizana na Simba, anayefifisha nyota ya Niyonzima Yanga …
Mtu wangu wa nguvu najua unashauku ya kutaka kufahamu leo December 23 kuna stori gani katika headlines za soka la Bongo. Huenda ukawa hukupata bahati ya kusoma stori za michezo za magazeti ya leo December 23. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee headlines 5 za stori za magazeti ya michezo ya Tanzania. 5- Majabvi amalizana […]
The post TOP 5 Stories: Samatta kapata timu Ulaya, Majabvi kamalizana na Simba, anayefifisha nyota ya Niyonzima Yanga … appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfifQjyqIJ7LAcZbMe6*nU0*QbfOMV1*eND9k-bgL3D8fbDRDUijoMRVUaJ8JUiJh-ItwO83WTQRNwYA875couFu/Happycouplebed008.jpg?width=650)
MWANAMKE ANATAFUTWA NDOA INATENGENEZWA