SIMBA YAMSHITAKI MLIBERIA WA YANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NR_XLAtUOvw/VJ11db7aBxI/AAAAAAADSjg/8IZkNuaik3s/s72-c/kpa.png)
Mshambuliaji mpya wa Yanga, Kpah Sherman.
Na Mwandishi WetuYANGA inatarajiwa kujitupa uwanjani keshokutwa Jumapili kukipiga dhidi ya Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini upande wa pili ni kuwa wapinzani wa Wanajangwani hao wanajiandaa kumshitaki mshambuliaji mpya wa Yanga, Kpah Sherman raia wa Liberia ambaye anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus.
Awali gazeti hili liliripoti juu ya straika huyo ambaye amekuwa kipenzi cha mashabiki wengi wa Yanga ndani ya muda mfupi na sasa Simba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/0LeTVNuFh6U/default.jpg)
MLIBERIA WA YANGA ANATAFUTWA ULAYA
Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman.
Na Saleh AllyWAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus.
Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XCoElX7q3j0pX6*YBwlxNDcMoVVLUknLr0rQsi6DF1xG6Foi5HpJfxxF9JW2T2U1fqwhnfraL4*EIwE4eLQZ2JNqTTZqLnY3/Tambwe.jpg)
Tambwe, Mliberia waingia vitani Yanga
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Mliberia atua Yanga, akubali changamoto
10 years ago
GPLWAZUNGU WASEMA Mliberia Yanga anatafutwa Ulaya
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-loze6uz99L4/VPx_cFdgBFI/AAAAAAADbqU/jECI3XpZ2pY/s72-c/MMGL0169.jpg)
AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0
![](http://1.bp.blogspot.com/-loze6uz99L4/VPx_cFdgBFI/AAAAAAADbqU/jECI3XpZ2pY/s1600/MMGL0169.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lcG7nGUTfKs/VPx_b-JPmrI/AAAAAAADbqQ/vw34R5bUalk/s1600/MMGL0172.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iOw-SP5Bt_Q/VPx_b4Yq6JI/AAAAAAADbqM/eqP8Gz6fDkk/s1600/MMGL0229.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s72-c/Simba-vs-Yanga-pic.png)
YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s640/Simba-vs-Yanga-pic.png)
11 years ago
Mwananchi25 Jun
KAMPENI SIMBA: Wagombea Simba waijadili Yanga