Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mliberia adakwa na Heroine JNIA

>Raia wa Liberia, Deocntee Togbah amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam akiwa na kilo moja ya dawa za kulevya aina ya Heroine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAMSHITAKI MLIBERIA WA YANGA

Mshambuliaji mpya wa Yanga, Kpah Sherman.
Na Mwandishi WetuYANGA inatarajiwa kujitupa uwanjani keshokutwa Jumapili kukipiga dhidi ya Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini upande wa pili ni kuwa wapinzani wa Wanajangwani hao wanajiandaa kumshitaki mshambuliaji mpya wa Yanga, Kpah Sherman raia wa Liberia ambaye anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus.
Awali gazeti hili liliripoti juu ya straika huyo ambaye amekuwa kipenzi cha mashabiki wengi wa Yanga ndani ya muda mfupi na sasa Simba...

 

10 years ago

Vijimambo

MLIBERIA WA YANGA ANATAFUTWA ULAYA

Hapa ni magoli yake akiwa na timu yake ya huko Cyprus kabla ya kutua Yanga ya jiji Dar-Es-Salaama.

Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman.
Na Saleh AllyWAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus.
Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini...

 

10 years ago

Mwananchi

Mliberia atua Yanga, akubali changamoto

Mshambuliaji mpya wa Yanga, Kpah Sherman ametua rasmi jana na kusema yuko tayari kwa changamoto za soka la Tanzania.

 

10 years ago

GPL

Tambwe, Mliberia waingia vitani Yanga

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Mliberia, Kpah Sherman, Na Wilbert Molandi
WASHAMBULIAJI wapya wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe na Mliberia, Kpah Sherman, wameanza kuonyeshana mavituzi katika mazoezi ya timu hiyo. Nyota hao wote walijiunga na kikosi hicho hivi karibuni katika usajili wa dirisha dogo, Tambwe yeye alisaini mkataba wa mwaka mmoja na Sherman miaka miwili. Katika mazoezi ya timu hiyo yanayoendelea kwenye Uwanja wa...

 

10 years ago

GPL

WAZUNGU WASEMA Mliberia Yanga anatafutwa Ulaya

Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman. Na Saleh Ally
WAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus. Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini humo, vimeripoti kuwa Mliberia...

 

10 years ago

TheCitizen

Meet the unlikely heroine

A woman risking her life to save others who are on the verge of death is considered a rare incident on a continent where men are the ones expected to show bravery in the face of serious danger.

 

11 years ago

Habarileo

Akamatwa na heroine za mil 64/-

MKAZI wa Tabata Liwiti, Dar es Salaam, Maulid Mfaume (36) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA) akiwa na pipi 83 za dawa za kulevya aina ya heroin, zinazokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 64 zikiwa tumboni.

 

10 years ago

Mwananchi

Heroine zaongoza kuingizwa nchini

Dawa za kulevya aina ya heroine ndizo zilizoingia nchini kwa wingi mwaka 2013, imeelezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yaharibu Kilo 370 ya Heroine

Serikali ya Kenya imeharibu kilo370 ya heroine iliyonaswa katika meli moja mwezi uliopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani