Mliberia adakwa na Heroine JNIA
>Raia wa Liberia, Deocntee Togbah amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam akiwa na kilo moja ya dawa za kulevya aina ya Heroine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NR_XLAtUOvw/VJ11db7aBxI/AAAAAAADSjg/8IZkNuaik3s/s72-c/kpa.png)
SIMBA YAMSHITAKI MLIBERIA WA YANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NR_XLAtUOvw/VJ11db7aBxI/AAAAAAADSjg/8IZkNuaik3s/s1600/kpa.png)
Na Mwandishi WetuYANGA inatarajiwa kujitupa uwanjani keshokutwa Jumapili kukipiga dhidi ya Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini upande wa pili ni kuwa wapinzani wa Wanajangwani hao wanajiandaa kumshitaki mshambuliaji mpya wa Yanga, Kpah Sherman raia wa Liberia ambaye anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus.
Awali gazeti hili liliripoti juu ya straika huyo ambaye amekuwa kipenzi cha mashabiki wengi wa Yanga ndani ya muda mfupi na sasa Simba...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/0LeTVNuFh6U/default.jpg)
MLIBERIA WA YANGA ANATAFUTWA ULAYA
Hapa ni magoli yake akiwa na timu yake ya huko Cyprus kabla ya kutua Yanga ya jiji Dar-Es-Salaama.
![](http://api.ning.com/files/6aOMGtxdGe5CielGAm*pxCdtVMosLRf8gWqArjtWMfmjrdc19*CExgzmcf2SZcYZUf5mS8dDY1d59nPeiQG0iQIR1no6Q4Fe/IMG_0275.JPG?width=650)
Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman.
Na Saleh AllyWAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus.
Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini...
Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman.
Na Saleh AllyWAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus.
Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Mliberia atua Yanga, akubali changamoto
Mshambuliaji mpya wa Yanga, Kpah Sherman ametua rasmi jana na kusema yuko tayari kwa changamoto za soka la Tanzania.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XCoElX7q3j0pX6*YBwlxNDcMoVVLUknLr0rQsi6DF1xG6Foi5HpJfxxF9JW2T2U1fqwhnfraL4*EIwE4eLQZ2JNqTTZqLnY3/Tambwe.jpg)
Tambwe, Mliberia waingia vitani Yanga
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Mliberia, Kpah Sherman, Na Wilbert Molandi
WASHAMBULIAJI wapya wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe na Mliberia, Kpah Sherman, wameanza kuonyeshana mavituzi katika mazoezi ya timu hiyo. Nyota hao wote walijiunga na kikosi hicho hivi karibuni katika usajili wa dirisha dogo, Tambwe yeye alisaini mkataba wa mwaka mmoja na Sherman miaka miwili. Katika mazoezi ya timu hiyo yanayoendelea kwenye Uwanja wa...
10 years ago
GPLWAZUNGU WASEMA Mliberia Yanga anatafutwa Ulaya
Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman. Na Saleh Ally
WAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus. Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini humo, vimeripoti kuwa Mliberia...
10 years ago
TheCitizen17 Nov
Meet the unlikely heroine
A woman risking her life to save others who are on the verge of death is considered a rare incident on a continent where men are the ones expected to show bravery in the face of serious danger.
11 years ago
Habarileo17 Dec
Akamatwa na heroine za mil 64/-
MKAZI wa Tabata Liwiti, Dar es Salaam, Maulid Mfaume (36) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA) akiwa na pipi 83 za dawa za kulevya aina ya heroin, zinazokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 64 zikiwa tumboni.
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Heroine zaongoza kuingizwa nchini
Dawa za kulevya aina ya heroine ndizo zilizoingia nchini kwa wingi mwaka 2013, imeelezwa.
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
Kenya yaharibu Kilo 370 ya Heroine
Serikali ya Kenya imeharibu kilo370 ya heroine iliyonaswa katika meli moja mwezi uliopita.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania