Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Heroine zaongoza kuingizwa nchini

Dawa za kulevya aina ya heroine ndizo zilizoingia nchini kwa wingi mwaka 2013, imeelezwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Viongozi wa mitaa kuingizwa darasani


NA MARIA AROPE, DODOMA
KUFUATIA viongozi wa ngazi ya chini kutopewa semina elekezi na miongozo kabla ya kuanza, kazi shirika lisilo la serikali mkoani Dodoma la NGONEDO linatarajia kutoa mafunzo kwa viongozi wa serikali za vijiji 1,580.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, Mratibu wa shirika hilo, Edward Mbogo, alisema viongozi hao watatoka katika vijiji 42 ambapo wananchi 350,000 watanufaika.
Alisema awamu ya kwanza ya mradi huo itaanza kutekelezwa katika wilaya za Kongwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatimaye Mr. Kadamanja kuingizwa mtaani kesho

HATIMAYE ile filamu ya ‘Mr. Kadamanja’ iliyokuwa ikisubiriwa kwa shauku kubwa na wapenzi wa sinema za Kibongo, inaingizwa rasmi mtaani kesho baada ya maandalizi yote yaliyokuwa yanaikwamisha kukamilika. Akizungumza jijini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Who is My Child kuingizwa sokoni wiki ijayo

FILAMU ya ‘Who is My Child’ inayosubiriwa kwa shauku kubwa na wadau wa sinema za Kibongo, inatarajiwa kuingizwa sokoni Jumatatu ikiwa ni ya tatu kusambazwa na Kampuni ya 5 Effects...

 

11 years ago

Habarileo

Ajiondoa Chadema kwa siasa za kidikteta, kuingizwa udini

ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Mtera, Lameck Lubote ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema amechoka na siasa zilizojaa udikteta wa viongozi wake.

 

11 years ago

Habarileo

Wasihi kuingizwa vipengele vyenye maslahi kwa wanawake,watoto

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kuwatendea haki vijana, wanawake na watoto kwa kuingiza vipengele ambavyo vina maslahi katika kuboresha maisha yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Shule zaongoza kwa shehena za tindikali

>Baada ya matukio ya watu kadhaa kumwagiwa tindikali nchini na kuacha sintofahamu katika jamii, imebainika kuwa shule ndizo zinazoongoza kwa kuwa na shehena nyingi ya tindikali ambayo imepatikana bila kupitia utaratibu unaotakiwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Ruvuma, Dodoma zaongoza kutoa mawaziri

Mikoa ya Ruvuma na Dodoma imeongoza kwa kuwa na mawaziri na manaibu waziri kuliko mingine nchini katika uteuzi wa baraza la mawaziri uliofanywa na Rais John Magufuli juzi, huku akiiacha mingine bila waziri au naibu.     

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi,UG na Kenya zaongoza kwa ufisadi

Ufisadi nchini Kenya bado uko katika kiwango cha juu licha ya juhudi kukabiliana na swala hilo nyeti.

 

11 years ago

Mwananchi

Jezi za Ronaldo zaongoza kwa mauzo

Jumla ya jezi milioni 1 za mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ziliuzwa msimu wa mwaka 2013/14 na kuzidi jezi za timu nzima ya Bayern Munich ambayo iliuza jezi 880,000.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani