Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatimaye Mr. Kadamanja kuingizwa mtaani kesho

HATIMAYE ile filamu ya ‘Mr. Kadamanja’ iliyokuwa ikisubiriwa kwa shauku kubwa na wapenzi wa sinema za Kibongo, inaingizwa rasmi mtaani kesho baada ya maandalizi yote yaliyokuwa yanaikwamisha kukamilika. Akizungumza jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kifo chaikwamisha Mr. Kadamanja

KIFO cha mzee John Mtitu ambaye ni baba mzazi wa nyota wa filamu za Kibongo, William Mtitu, kimeikwamisha sinema ya Mr. Kadamanja ambayo ilikuwa itoke wiki hii baada ya kusitisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stupid Father, Mr. Kadamanja kuchuana

FILAMU mbili zinazosambazwa na Kampuni ya 5 Effect Movies Ltd, ‘Mr. Kadamanja’ na ‘Stupid Father’ ambazo zote zilichezwa kwa ustadi na aliyekuwa mwongozaji na muigizaji, marehemu Adam Kuambiana, zinashindanishwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mr. Kadamanja kuinadi Stupid Father

FILAMU ya ‘Mr. Kadamanja’ inayofanya vizuri sokoni, imeonekana kuinadi sinema mpya iliyochezwa na aliyekuwa mwongozaji na mwigizaji mahiri wa filamu za Bongo, marehemu Adam Kuambiana iitwayo ‘Stupid Father’. Wakizungumza kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchache wa nakala waikwamisha Mr. Kadamanja

UONGOZI wa Kampuni ya kizalendo ya kusambaza filamu za kibongo, 5 Effects Movies Ltd, umesema sababu kubwa iliyosababisha kukawia kuiingiza sokoni sinema ya ‘Mr. Kadamanja’ ni kutokana na kutoa nakala...

 

11 years ago

Mwananchi

Heroine zaongoza kuingizwa nchini

Dawa za kulevya aina ya heroine ndizo zilizoingia nchini kwa wingi mwaka 2013, imeelezwa.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Viongozi wa mitaa kuingizwa darasani


NA MARIA AROPE, DODOMA
KUFUATIA viongozi wa ngazi ya chini kutopewa semina elekezi na miongozo kabla ya kuanza, kazi shirika lisilo la serikali mkoani Dodoma la NGONEDO linatarajia kutoa mafunzo kwa viongozi wa serikali za vijiji 1,580.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, Mratibu wa shirika hilo, Edward Mbogo, alisema viongozi hao watatoka katika vijiji 42 ambapo wananchi 350,000 watanufaika.
Alisema awamu ya kwanza ya mradi huo itaanza kutekelezwa katika wilaya za Kongwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Who is My Child kuingizwa sokoni wiki ijayo

FILAMU ya ‘Who is My Child’ inayosubiriwa kwa shauku kubwa na wadau wa sinema za Kibongo, inatarajiwa kuingizwa sokoni Jumatatu ikiwa ni ya tatu kusambazwa na Kampuni ya 5 Effects...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani