PIPI YA KIJITI YA MENINA KUINGIA MTAANI KESHO
![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb9pnhP4T1E5N2tPFmDFZv1Pkteh*UQ3R8cV9R-a5i-f9bES3asOwcEwZ7VCMrb4LEt1-xVfCIBbZ4c5a4UlH7XR/MENINA.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL02 Aug
10 years ago
Bongo531 Dec
Meninah azungumzia kuanza mwaka 2015 na video ya ‘Pipi ya Kijiti’
9 years ago
Mtanzania26 Nov
‘Yatima Hadeki’ kuingia mtaani Desemba
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII chipukizi wa filamu nchini, Festo Kise ‘Kise’, anatarajia kuingiza sokoni filamu yake ya kwanza inayoitwa ‘Yatima Hadeki’ inayohusu mateso, misukosuko na mafunzo mbalimbali kwenye maisha ya Mtanzania.
Kise alisema hiyo ndiyo filamu yake ya kwanza kuiandaa na kucheza kama mhusika mkuu huku akitarajia kwamba italeta changamoto kwa wasanii wakubwa kutokana na maudhui ya hadithi yenyewe.
“Hii ni filamu yangu ya kwanza, naamini mashabiki wa filamu wataipokea vyema...
11 years ago
Michuzi25 Jun
FILAMU MPYA YA KISWAHILI ILIYOCHEZWA NCHINI UHOLANZI KUINGIA MTAANI HIVI KARIBUNI
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Trailer: Filamu mpya ya Kiswahili iliyochezwa nchini Uholanzi kuingia mtaani hivi karibuni
Filamu mpya ya kiswahili iliyochezwa nchini Uholanzi chini ya Director mpya Hija Salehe.Filamu yenye mafunzo,ucheshi na vingi vihoja ndani ya wasanii wapya wenye mvuto na ujuzi mwingi ndani yake.tazama kibwagizo tu kidogo uhondo unakuja hivi karibu.Jina la filamu ni NIMPENDE NANI
Kutana na wasanii wenye makeke kama Omary Abbas, Khatib Mustapha, Nicolas Gabino, Mrembo anayekubalika Sonia Kasuka, Shamim Sudi, na wengine kibao ambao ni gumzo katika filamu hii mpya ya Kiswahili.
11 years ago
GPL25 Jun
FILAMU MPYA YA KISWAHILI ILIYOCHEZWA NCHINI UHOLANZI KUINGIA MTAANI HIVI KARIBUNI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vlKUFPodnGUt*Tkt0ldXIm1ikG8efQ0Pp*vfn-7JN-zEDnceOrKi265y*pLLTv2bmf*OYgFi0yTiTPfLbul3BESk50YtDduD/SHIGONGONEW.jpg?width=650)