Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trailer: Filamu mpya ya Kiswahili iliyochezwa nchini Uholanzi kuingia mtaani hivi karibuni

swahili movie 1

Filamu mpya ya kiswahili iliyochezwa nchini Uholanzi chini ya Director mpya Hija Salehe.Filamu yenye mafunzo,ucheshi na vingi vihoja ndani ya wasanii wapya wenye mvuto na ujuzi mwingi ndani yake.tazama kibwagizo tu kidogo uhondo unakuja hivi karibu.Jina la filamu ni NIMPENDE NANI

movie swahili 2

Kutana na wasanii wenye makeke kama Omary Abbas, Khatib Mustapha, Nicolas Gabino, Mrembo anayekubalika Sonia Kasuka, Shamim Sudi, na wengine kibao ambao ni gumzo katika filamu hii mpya ya Kiswahili.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

FILAMU MPYA YA KISWAHILI ILIYOCHEZWA NCHINI UHOLANZI KUINGIA MTAANI HIVI KARIBUNI

Filamu mpya ya kiswahili iliyochezwa nchini Uholanzi chini ya Director mpya Hija Salehe.Filamu yenye mafunzo,ucheshi na vingi vihoja ndani ya wasanii wapya wenye mvuto na ujuzi mwingi ndani yake.tazama kibwagizo tu kidogo uhondo unakuja hivi karibu.Jina la filamu ni NIMPENDE NANI Kutana na wasanii wenye makeke kama Omary Abbas,Khatib Mustapha,Nicolas Gabino,Mrembo anayekubalika Sonia Kasuka,Shamim Sudi,na wengine kibao ambao ni gumzo katika filamu hii mpya ya kiswahili.

 

11 years ago

GPL

FILAMU MPYA YA KISWAHILI ILIYOCHEZWA NCHINI UHOLANZI KUINGIA MTAANI HIVI KARIBUNI‏

Filamu mpya ya Kiswahili iliyochezwa nchini Uholanzi chini ya Director mpya Hija Salehe iitwayo NIMPENDE NANI. Filamu hii yenye mafunzo, ucheshi na vingi vioja ndani ya wasanii wapya wenye mvuto na ujuzi mwingi ndani yake. Tazama kibwagizo tu kidogo uhondo unakuja hivi karibu.  Kutana na wasanii wenye makeke kama Omary Abbas, Khatib Mustapha, Nicolas Gabino, Mrembo anayekubalika Sonia Kasuka, Shamim Sudi na wengine kibao...

 

9 years ago

Michuzi

FILAMU MPYA YA KISWAHILI ILIYOCHEZWA NCHINI UHOLANZI ''Nimpende Nani (Gentleman au Bongo Flavor)''

Filamu ya Kiswahili iliyotengenezwa na waswahili waishio Holland katika kuendeleza mila,desturi na sifa za Kiswahili popote duniani. Hii ni filamu ya majaribio katika utengenezaji wetu wa filamu, tuna matumaini mtaipokea vizuri na tusameheane kwa mapungufu mtayoyaona

 

9 years ago

Dewji Blog

TAZAMA FILAMU MPYA YA KISWAHILI ILIYOCHEZWA NCHINI UHOLANZI ”Nimpende Nani (Gentleman au Bongo Flavor)”

Untitled 00000

Filamu ya Kiswahili iliyotengenezwa na Watanzania waishio Holland katika kuendeleza mila,desturi na sifa za Kiswahili popote duniani. Hii ni filamu ya majaribio katika utengenezaji wetu wa filamu, tuna matumaini mtaipokea vizuri na tusameheane kwa mapungufu mtayoyaona. Bonyeza Play hapa chini kuitazama….

 

9 years ago

Dewji Blog

Filamu mpya kutoka Zimbabwe inakuja hivi karibuni: GRINGO TROUBLEMAKER!

gringo2

Na Andrew Chale,Modewjiblog

[Harare-ZIMBABWE] Filamu mpya iliyojaa vimbwanga vya kila aina kutoka kwa waigizaji mahiri wa nchini hapa ipo mbioni kuingia mtaani na majumba ya sinema mbalimbali.

Kwa mujibu wa mandao  wa Zollywoodzim (http://www.zollywoodzim.co.uk) unaorusha habari za filamu na wasanii mbalimbali wa nchini hapa umeelezea kuwa, filamu  hiyo ni ya kipekee na yenye ubora wa hali ya juu ambao mtazamaji anapokuwa anaitazama ikaweza kumvunja mbavu hadi kupitiliza kwa jinsi ilivyojaa...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Trailer ya mwisho ya filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’

Hii ni trailer mpya na ya mwisho ya filamu mpya ya James Bond, ‘Spectre’ ambayo imetoka mtandaoni Oct.2. ‘Spectre’ inatarajiwa kuanza kuoneshwa kwenye majumba ya sinema ya Marekani Nov.6. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Trailer ya filamu mpya ya mwigizaji wa Nigeria Genevieve Nnaji — ‘Road to Yesterday’

Mwigizaji maarufu wa Nigeria, Genevieve Nnaji amecheza kwenye filamu mpya iitwayo ‘Road to Yesterday’, ikiwa ndio filamu yake ya kwanza ndani ya miaka miwili iliyopita. Kwenye filamu hiyo aliyocheza na muigizaji mpya Muingereza mwenye asili ya Nigeria aitwaye Oris Erhuerho, Genevieve ameigiza kama ‘Victoria Izu’ ambaye ni mke pamoja na mama. ‘Road to Yesterday’ ni […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Trailer ya filamu mpya ya Will Smith aliyoigiza kama daktari kutoka Nigeria, ‘Concussion’

Muigizaji wa Marekani, Will Smith ameigiza kama daktari (Dr. Omalu) kwenye filamu mpya ya Hollywood iitwayo ‘Concussion’. Movie hiyo inatokana na hadithi ya kweli ya maisha ya dr. Bennet Ifekandu Omalu wa Nigeria. Tazama kionjo cha filamu hiyo itakayotoka December 25, 2015. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili […]

 

9 years ago

Bongo5

Davido aigiza kwa mara ya kwanza kwenye filamu mpya ya Nollywood, tazama Trailer

Tumezoea kuwaona wasanii wengi wa muziki wa Marekani wakishiriki pia kwenye filamu ama reality tv shows, kitu ambacho hakifanywi sana na wasanii wa Afrika. Staa wa Nigeria, David Adeleke a.k.a Davido ameamua kukionesha kipaji chake kingine mbali na muziki kwa kuigiza kwenye filamu mpya ya Nollywood iitwayo ‘John Zerebe’ ikiwa ndio mara yake ya kwanza […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani