FILAMU MPYA YA KISWAHILI ILIYOCHEZWA NCHINI UHOLANZI ''Nimpende Nani (Gentleman au Bongo Flavor)''
![](http://img.youtube.com/vi/XPz6Z0Ysaa8/default.jpg)
Filamu ya Kiswahili iliyotengenezwa na waswahili waishio Holland katika kuendeleza mila,desturi na sifa za Kiswahili popote duniani. Hii ni filamu ya majaribio katika utengenezaji wetu wa filamu, tuna matumaini mtaipokea vizuri na tusameheane kwa mapungufu mtayoyaona
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
TAZAMA FILAMU MPYA YA KISWAHILI ILIYOCHEZWA NCHINI UHOLANZI â€Nimpende Nani (Gentleman au Bongo Flavor)â€
Filamu ya Kiswahili iliyotengenezwa na Watanzania waishio Holland katika kuendeleza mila,desturi na sifa za Kiswahili popote duniani. Hii ni filamu ya majaribio katika utengenezaji wetu wa filamu, tuna matumaini mtaipokea vizuri na tusameheane kwa mapungufu mtayoyaona. Bonyeza Play hapa chini kuitazama….
11 years ago
Michuzi25 Jun
FILAMU MPYA YA KISWAHILI ILIYOCHEZWA NCHINI UHOLANZI KUINGIA MTAANI HIVI KARIBUNI
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Trailer: Filamu mpya ya Kiswahili iliyochezwa nchini Uholanzi kuingia mtaani hivi karibuni
Filamu mpya ya kiswahili iliyochezwa nchini Uholanzi chini ya Director mpya Hija Salehe.Filamu yenye mafunzo,ucheshi na vingi vihoja ndani ya wasanii wapya wenye mvuto na ujuzi mwingi ndani yake.tazama kibwagizo tu kidogo uhondo unakuja hivi karibu.Jina la filamu ni NIMPENDE NANI
Kutana na wasanii wenye makeke kama Omary Abbas, Khatib Mustapha, Nicolas Gabino, Mrembo anayekubalika Sonia Kasuka, Shamim Sudi, na wengine kibao ambao ni gumzo katika filamu hii mpya ya Kiswahili.
11 years ago
GPL25 Jun
FILAMU MPYA YA KISWAHILI ILIYOCHEZWA NCHINI UHOLANZI KUINGIA MTAANI HIVI KARIBUNI
9 years ago
Bongo518 Dec
Video: Tazama filamu fupi ya Kiswahili ‘Nani?’
![nani](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/nani-300x194.jpg)
Hii ni filamu fupi ya Kiswahili iitwayo Nani? iliyoongozwa na kutayarishwa na Hefemi. Jionee.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/lUMNGnS9GsE/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/RPuJVUo7gLw/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OnwgIp9Tcdo/VmwmLd_vgwI/AAAAAAAIL4Q/KEyCb0uvLKg/s72-c/313e6580f06a01c049524095ff129073.jpg)
WADAU WAPONGEZA FILAMU MPYA YA "GOING BONGO"
![](http://3.bp.blogspot.com/-OnwgIp9Tcdo/VmwmLd_vgwI/AAAAAAAIL4Q/KEyCb0uvLKg/s1600/313e6580f06a01c049524095ff129073.jpg)
WADAU mbalimbali waliofika kwenye onyesho la kwanza la filamu ya Mtanzania anayeishi nchini Marekani wametoa sifa kemkema kuhusu filamu hiyo inayokwenda kwa jina la ‘Going Bongo’ na wamewataka wasanii wa hapa nchini waige mfano wake.Wakizungumza baada ya kutoka kuaitazama ndani ya ukumbi wa...
10 years ago
MichuziFILAMU Going Bongo yazinduliwa rasmi nchini
FILAMU Going Bongo ilizinduliwa rasmi juzi na kuhudhuriwa na mamia ya wadau wa filamu nchini, katika hafla iliyofanyika eneo la Bahari Zoo, jijini Dar es salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuizindua filamu hiyo, Mwigizaji Mkuu wa Going Bongo Ernest Rwandalla alisema kuwa filamu hiyo imeshaanza kuoneshwa kimataifa zaidi kwa kuwa watu mbalimbali duniani wameanza kuifuatilia kwa njia ya I tune.
Alisema kuwa ni filamu ambayo inahusiana na suala la afya...