Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Tazama filamu fupi ya Kiswahili ‘Nani?’

nani

Hii ni filamu fupi ya Kiswahili iitwayo Nani? iliyoongozwa na kutayarishwa na Hefemi. Jionee.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

TAZAMA FILAMU MPYA YA KISWAHILI ILIYOCHEZWA NCHINI UHOLANZI ”Nimpende Nani (Gentleman au Bongo Flavor)”

Untitled 00000

Filamu ya Kiswahili iliyotengenezwa na Watanzania waishio Holland katika kuendeleza mila,desturi na sifa za Kiswahili popote duniani. Hii ni filamu ya majaribio katika utengenezaji wetu wa filamu, tuna matumaini mtaipokea vizuri na tusameheane kwa mapungufu mtayoyaona. Bonyeza Play hapa chini kuitazama….

 

9 years ago

Michuzi

FILAMU MPYA YA KISWAHILI ILIYOCHEZWA NCHINI UHOLANZI ''Nimpende Nani (Gentleman au Bongo Flavor)''

Filamu ya Kiswahili iliyotengenezwa na waswahili waishio Holland katika kuendeleza mila,desturi na sifa za Kiswahili popote duniani. Hii ni filamu ya majaribio katika utengenezaji wetu wa filamu, tuna matumaini mtaipokea vizuri na tusameheane kwa mapungufu mtayoyaona

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama kionjo cha toleo jipya la filamu ya ‘The Barbershop: The Next Cut’

barbershopheader

Filamu ya comedy, ‘The Barbershop’ imerudi tena ikiwa na sura mpya ambazo hazikuwepo katika filamu zilizopita.

barbershopheader

Waigizaji waliokuwepo toka filamu ya kwanza ni Ice Cube, Eve, Cedric The Entertainer na Anthony Anderson. Katika filamu mpya ‘The Barbershop: The Next Cut’ walioongezeka ni Nicki Minaj, Tyga na Comon. Inatarajiwa kutoka April 15, 2016.

Tazama trailer

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

11 years ago

Michuzi

muda wa shindalo la waandishi wa filamu za Kiswahili la skripti za filamu ndefu waongezwa

Tamasha la ZIFF limetangaza kuongezwa muda kwa wadau waandishi wa filamu  za Kiswahili. Shindano la skripti za filamu ndefu (feature film) katika lugha ya Kiswahili kwa ajili ya Chaneli ya ZUKU limeongezewa muda hadi tarehe 30 Aprili.
Tafadhali tembelea tovuti ya ZIFF  http://www.ziff.or.tz/2014/03/30/commissioning-feature-length-films-zuku-tvs-swahili-movies-chann/
Washindi 5 watapata zaidi ya Tsh 20millioni ili kutengeneza filamu zao baada ya kuchaguliwa na kupigwa msasa na magwiji...

 

9 years ago

Bongo5

Davido aigiza kwa mara ya kwanza kwenye filamu mpya ya Nollywood, tazama Trailer

Tumezoea kuwaona wasanii wengi wa muziki wa Marekani wakishiriki pia kwenye filamu ama reality tv shows, kitu ambacho hakifanywi sana na wasanii wa Afrika. Staa wa Nigeria, David Adeleke a.k.a Davido ameamua kukionesha kipaji chake kingine mbali na muziki kwa kuigiza kwenye filamu mpya ya Nollywood iitwayo ‘John Zerebe’ ikiwa ndio mara yake ya kwanza […]

 

10 years ago

Michuzi

NANI KUIBUKA KINARA WA TUZO ZA FILAMU TANZANIA!

  Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba(kulia) akielezea jambo kwa wana habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza walioingia katika hatua ya mwisho ya kushindania Tuzo za Filamu Tanzania leo jijini Dar es Salaam katika mkutano na wana habari uliofanyika katika hotel ya New Africa ya jijini Dar es Salaam, kulia kwake ni Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tuzo hizo Caroline Gul na mmoja wa wadhani kutoka International Eye Hospital Dr. Recep Yujel.Jaji mkuu katika mchakato...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani