Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchache wa nakala waikwamisha Mr. Kadamanja

UONGOZI wa Kampuni ya kizalendo ya kusambaza filamu za kibongo, 5 Effects Movies Ltd, umesema sababu kubwa iliyosababisha kukawia kuiingiza sokoni sinema ya ‘Mr. Kadamanja’ ni kutokana na kutoa nakala...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nida yalia ukata, uchache wa wafanyakazi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dickson Maimu amesema kuchelewa kwa uandikishwaji na utoaji wa vitambulisho hivyo katika mikoa mingi hapa nchini kumesababishwa na uhaba wa fedha na rasilimali watu.

 

9 years ago

Bongo5

Ukata waikwamisha taasisi ya Daz Baba

Daz Baba amesema anashindwa kufanya miradi ya maendeleo ya kijamii kupitia taasisi yake ya ‘Tanzania Songa Mbele Daima’ kutokana na taasisi hiyo kukumbwa na ukata wa fedha. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na EATV, muimbaji huyo wa kundi la zamani la Daz Nundaz, alisema tayari ameshajaribu kuzunguka huku na kule ili kupata wadhamini […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kifo chaikwamisha Mr. Kadamanja

KIFO cha mzee John Mtitu ambaye ni baba mzazi wa nyota wa filamu za Kibongo, William Mtitu, kimeikwamisha sinema ya Mr. Kadamanja ambayo ilikuwa itoke wiki hii baada ya kusitisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stupid Father, Mr. Kadamanja kuchuana

FILAMU mbili zinazosambazwa na Kampuni ya 5 Effect Movies Ltd, ‘Mr. Kadamanja’ na ‘Stupid Father’ ambazo zote zilichezwa kwa ustadi na aliyekuwa mwongozaji na muigizaji, marehemu Adam Kuambiana, zinashindanishwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mr. Kadamanja kuinadi Stupid Father

FILAMU ya ‘Mr. Kadamanja’ inayofanya vizuri sokoni, imeonekana kuinadi sinema mpya iliyochezwa na aliyekuwa mwongozaji na mwigizaji mahiri wa filamu za Bongo, marehemu Adam Kuambiana iitwayo ‘Stupid Father’. Wakizungumza kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatimaye Mr. Kadamanja kuingizwa mtaani kesho

HATIMAYE ile filamu ya ‘Mr. Kadamanja’ iliyokuwa ikisubiriwa kwa shauku kubwa na wapenzi wa sinema za Kibongo, inaingizwa rasmi mtaani kesho baada ya maandalizi yote yaliyokuwa yanaikwamisha kukamilika. Akizungumza jijini...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

10 years ago

BBCSwahili

Nakala za kale zaidi za Koran - UK

Chuo kikuu cha Birmingham Uingereza kimegundua nakala za kale zaidi za kitabu cha kiislamu cha Koran. Takriban miaka 1300 baadaye.

 

11 years ago

Mwananchi

Upungufu wa nakala wachelewesha Rasimu

>Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba, Pandu Ameir Kificho,  jana alililazimika kuahirisha kwa muda uwasilishaji wa Rasimu ya Kanuni za Uendeshaji wa Bunge hilo, kufuatia  kukosekana kwa nakala za kutosha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani