Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nakala za kale zaidi za Koran - UK

Chuo kikuu cha Birmingham Uingereza kimegundua nakala za kale zaidi za kitabu cha kiislamu cha Koran. Takriban miaka 1300 baadaye.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Album ya Adele ‘25’ yauza zaidi ya nakala milioni 5 wiki ya tatu

Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2

Album ya Adele ‘25’ inaendelea kununuliwa kwa kasi, mpaka sasa imeuza zaidi ya nakala milioni 5 Marekani kwenye wiki ya tatu.

Adele 25

Katika wiki mbili za kwanza ‘25’ iliuza nakala milioni 4.49, na inakadiriwa imeuza nakala 510,000 katika wiki ya tatu ya mauzo hivyo kufanya mauzo ya jumla kufikia zaidi ya milioni 5.

Wataalam wanabashiri kuwa hadi kumalizika kwa wiki ya tatu inaweza kuwa imeuza nakala 650,000 kwa wiki hii.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkoa wa Mbeya waiomba idara ya mambo ya kale kuwakabidhi makumbusho ya mambo ya kale ya KIMONDO

Wanahabari  wakitazama  Kimondo

Mwanahabari  wa Habari  leo  Iringa na mwenyekiti wa chama  cha waandishi wa habari  mkoa  wa Iringa Frank  Leonard  akitoka  kutazama  Kimondo Mgeni  akisaini kitabu cha wageni katika  ofisi ya makumbusho ya mambo ya kale  ya  Kimondo Mbeya Wanahabari wakitoka katika  Kimondo  kulia na Slvanus  Kigomba  (ITV) na kulia ni Irene Mwakalinga (TBC),nyuma yao ni ofisi ya makumbusho  hayo Mhifadhi  akionyesha  jiko  ambalo  linatumika  eneo  hilo Nyumba ya ...

 

11 years ago

BBC

Mauritania anger after 'Koran torn'

Hundreds of Muslims protest in Mauritania's capital, Nouakchott, after news spread that copies of the Koran had allegedly been desecrated.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waislam walaani kuchanwa kwa Koran Mauritania

Ghasia zimeibuka katika mji mkuu wa Mauritania Nouakchott wakipinga kuchanwa kwa nakala za Koran msikitini na watu wasiojulikana

 

10 years ago

Michuzi

Ni MISHUMAA YA KALE

Uko macho???Ingia www.vijimamboradio.com twende pamojaDj Luke Joe kwenye mashine na Mubelwa Bandio kwenye mic

 

10 years ago

Vijimambo

Mishumaa ya Kale ....Kumradhi

Kwa wale wadau wote wa MISHUMAA YA KALE, tunaomba radhi kwa kukosekana kwa kipindi hapo jana.
Ilitokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu
Lakini tuna imani kuwa Ijumaa hii mambo yatakaa sawa nasi kukuletea kipindi hicho.
Kama ulikosa kipindi chochote kilichopita, BOFYA HAPA.
Kwa kipindi cha wiki iliyopita, sikiliza hapa chini

 

10 years ago

Michuzi

Tenzi Tatu za Kale

Na Profesa MbeleLeo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale. Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katika duka la vitabu la Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Kitabu hiki ni mkusanyo wa tenzi tatu za kale maarufu: Fumo Liyongo, uliotungwa na Muhamadi Kijumwa; Al Inkishafi, uliotungwa na Sayyid Abdalla bin Ali; naMwanakupona, uliotungwa na Mwana Kupona binti Mshamu. Kitabu kimehaririwa na M.M. Mulokozi, profesa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siasa ya kale, mfumo mpya

HAPO mwanzo, kabla ya uhuru wa Tanganyika, palikuwapo na chama cha ukombozi wa Waafrika (TANU). TANU ndiyo iliyoungana na Chama cha Waafrika na Washirazi (ASP) kuunda Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani