Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tenzi Tatu za Kale

Na Profesa MbeleLeo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale. Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katika duka la vitabu la Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Kitabu hiki ni mkusanyo wa tenzi tatu za kale maarufu: Fumo Liyongo, uliotungwa na Muhamadi Kijumwa; Al Inkishafi, uliotungwa na Sayyid Abdalla bin Ali; naMwanakupona, uliotungwa na Mwana Kupona binti Mshamu. Kitabu kimehaririwa na M.M. Mulokozi, profesa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mkoa wa Mbeya waiomba idara ya mambo ya kale kuwakabidhi makumbusho ya mambo ya kale ya KIMONDO

Wanahabari  wakitazama  Kimondo

Mwanahabari  wa Habari  leo  Iringa na mwenyekiti wa chama  cha waandishi wa habari  mkoa  wa Iringa Frank  Leonard  akitoka  kutazama  Kimondo Mgeni  akisaini kitabu cha wageni katika  ofisi ya makumbusho ya mambo ya kale  ya  Kimondo Mbeya Wanahabari wakitoka katika  Kimondo  kulia na Slvanus  Kigomba  (ITV) na kulia ni Irene Mwakalinga (TBC),nyuma yao ni ofisi ya makumbusho  hayo Mhifadhi  akionyesha  jiko  ambalo  linatumika  eneo  hilo Nyumba ya ...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS UPDATES: NEC YA CCM Inapiga kura sasa kupata tatu bora. Saa tatu usiku mkutano unakaa kuamua jina moja

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari jioni hii juu ya kilichofanyika kwenye Mkutano wa Hamlashauri Kuu ya CCM, ambapo amesema kuwa sasa NEC inapiga kura kupata majina matatu yatakayopelekwa kwenye Mkutano Mkuu unaotarajiwa kufanyika Usiku wa leo majira ya saa tatu, kwenye Ukumbi wa Dodoma Convition Centre.

 

10 years ago

Michuzi

Ni MISHUMAA YA KALE

Uko macho???Ingia www.vijimamboradio.com twende pamojaDj Luke Joe kwenye mashine na Mubelwa Bandio kwenye mic

 

10 years ago

Vijimambo

Mishumaa ya Kale ....Kumradhi

Kwa wale wadau wote wa MISHUMAA YA KALE, tunaomba radhi kwa kukosekana kwa kipindi hapo jana.
Ilitokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu
Lakini tuna imani kuwa Ijumaa hii mambo yatakaa sawa nasi kukuletea kipindi hicho.
Kama ulikosa kipindi chochote kilichopita, BOFYA HAPA.
Kwa kipindi cha wiki iliyopita, sikiliza hapa chini

 

10 years ago

BBCSwahili

Nakala za kale zaidi za Koran - UK

Chuo kikuu cha Birmingham Uingereza kimegundua nakala za kale zaidi za kitabu cha kiislamu cha Koran. Takriban miaka 1300 baadaye.

 

10 years ago

Habarileo

Bodi kuhifadhi majengo ya kale

BODI ya Usajili Wabunifu Majengo na Ukadiriaji Majenzi, imeandaa mikakati ya kuona namna ya kuhifadhi majengo ya kale kulinda historia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siasa ya kale, mfumo mpya

HAPO mwanzo, kabla ya uhuru wa Tanganyika, palikuwapo na chama cha ukombozi wa Waafrika (TANU). TANU ndiyo iliyoungana na Chama cha Waafrika na Washirazi (ASP) kuunda Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mkurugenzi mambo ya kale apewa tunzo


Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI wa Mambo ya Kale katika Wizara ya Maliasili na Utalii, Donatius Kamamba ametunukiwa tunzo ya kimataifa ya ‘The knight Cross in the Order of Arts and Letters’ na serikali ya Ufaransa.
Tunzo hiyo imetokana na mchango mkubwa alioutoa katika kulinda na kuendeleza urithi wa utamaduni nchini na duniani kwa ujumla katika kipindi cha miaka 33 aliyoitumikia sekta ya malikale ndani na nje ya nchi.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Maliasili na Utalii, imesema kwa mujibu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani