MWANAMKE ANATAFUTWA NDOA INATENGENEZWA
![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfifQjyqIJ7LAcZbMe6*nU0*QbfOMV1*eND9k-bgL3D8fbDRDUijoMRVUaJ8JUiJh-ItwO83WTQRNwYA875couFu/Happycouplebed008.jpg?width=650)
JAMANI mu hali gani, najua mko poa, yangu hali bulibuli, nami ni miongoni mwa watu waliopendelewa na Mwenyezi Mungu kuendelea kuvuta pumzi yake huku nikitabasamu na kuonesha meno yangu mawili ya dhahabu. Wenye kisokolo kwinyu utawasikia ninajishaua, jamani ungelionaje jino langu la dhahabu bila kutabasamu? Ungekuwa utunda hapo ungesema kwa vile umefichwa na nguo zaidi ya tatu na anayetakiwa kuuona ni laazizi wako, japo siku...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SDyAhv-LsgU/VMCW9tzSRyI/AAAAAAAAAO4/GdMmiguYC2U/s72-c/mwizi.jpg)
Dalili za mwanamke anayetoka nje ya ndoa
![](http://4.bp.blogspot.com/-SDyAhv-LsgU/VMCW9tzSRyI/AAAAAAAAAO4/GdMmiguYC2U/s640/mwizi.jpg)
Wataalamu wa maswala ya mahusiano wanaamini kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa kuliko ilivyo kwa mwanaume.
Hii inatokana na ukweli kwamba, hisia zinakuwa na nafasi kubwa sana kwa mwanamke, kwani mwanamke huishi kwa hisia zaidi kuliko mwanaume. Bado nasisitiza kwamba, haipaswi na siyo sahihi mtu kuchukulia dalili hizi kama ushahidi wa mpenzi wake kutoka nje ya ndoa. Uchunguzi wa kina kufuatia dalili hizi ni muhimu sana.
Zifuatazo hapa chini...
10 years ago
Habarileo27 Oct
Mwanamke adaiwa kuiba mtoto kulinda ndoa
POLISI mkoani Rukwa wanamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chanji, Manispaa ya Sumbawanga, Magreth Juma (34) akituhumiwa kuiba mtoto wa kike mwenye umri wa siku mbili ili asiachike katika ndoa yake, kwa kuwa hajabahatika kumzalia mtoto mumewe.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WnPbYMT2cxeDMOVhFyekVbwrkfl4bmJX8YQ1sUPP9O5YdBOuCkh54kaQu9U8SaX1KK8NV7bk0zB1qzx4SGikoyiuNHBSEGXS/MAUMIVU.jpg?width=650)
MWANAMKE KUSIKIA MAUMIVU WAKATI NA BAADA YA TENDO LA NDOA
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Mwanamke aliyefunga ndoa na mbwa london anatukumbusha nini?
10 years ago
Dewji Blog02 May
Mwanamke wa Kizambia achepuka nje ya ndoa na kuzaa mtoto wa kichina
Wonders they say shall never end. A married woman from Kitwe, Bulangililo in Zambia displayed another strange act by cheating on her husband. The act eventually leads to the birth of a baby with Asian look and characteristics. Some neighbors of the couple in question suspects that Eunice Kalyolyo, 22, the wife of Chewe Kalyolyo, a bus driver, 26 years, might have stolen the baby. Kopalatimes insists she gave birth to the Chinese baby following the pregnancy from her Chinese former...
5 years ago
BBCSwahili01 Apr
Mwanamke aliye kwenye ndoa anaweza kuamua kutopata watoto ?
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Caro Nduti: Mwanamke aliyekuwa katika ndoa na binamu yake
9 years ago
Bongo504 Jan
Binti wa Askofu Desmond Tutu afunga ndoa na mwanamke mwenzake
![Mpho+Tutu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/MphoTutu-300x194.jpg)
Canon Mpho Tutu‚ mtoto wa Askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini amefunga ndoa na mwanamke mwenzake, Professor Marceline Furth kwenye sherehe ndogo iliyofanyika Alhamis iliyopita nchini Uholanzi.
Canon Tutu ni Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Desmond & Leah Tutu Legacy Foundation. Professor van Furth ni mhadhiri wa Paediatric Infectious Diseases kwenye chuo kikuu cha Vrije cha jijini Amsterdam.
Hiyo ndio ya pili kwa wote wawili. Ndoa yao itasherehekewa mjini ted in Cape Town May 2016.
Jiunge...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPrLLXuRuu7nmZ4sGTAmsU63VfcT79ni*6x54FjEVpfV7RTaKQ5SbYKMh1AFSe8oN6zn37LHepKarSUFR9fkyXIkfeEuNepA/mahaba.jpg)
MWANAMKE KABLA YA NDOA, ANATAKIWA AWE ‘AMETOKA’ NA WANAUME WANGAPI?