Caro Nduti: Mwanamke aliyekuwa katika ndoa na binamu yake
Caro Nduti ni mama ya watoto wawili, jana wawili ambao anawathamini sana ; anasema kuwa kwa muda wa miaka mine ndoa yake ilifana sana, lakini hayo haya kudumu. Alimsimulia Anne Ngugi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
Huyu ndio mchezaji mkubwa aliyempoteza binamu yake katika shambulio la Paris na mwingine kunusurika kumpoteza dada yake
Kiungo wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Marseille, Lassana Diarra.
Na Rabi Hume, wa Modewjiblog
Shambulio limelotokea usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi katika jiji la Paris, Ufaransa wakati mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Taifa ya Ufaransa na Ujerumani umeacha simanzi kwa kiungo wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Marseille, Lassana Diarra.
Katika shambulio hilo ambalo linakadiliwa kuua watu zaidi 150 limepelekea Diarra kumpoteza binamu yake, Asta Diakote ambae alikuwa moja...
10 years ago
Vijimambo10 May
DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/p240x240/11200587_909761035753767_7843757387391072959_n.jpg?oh=4ca697f286dccbefbfa5b80acd7b4563&oe=55C83211)
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/4hNukqhfhE3I-o05amPWD0K1pFdHBqkEX28XpfT6SasrodH5UkbPGYV2vlGoyCT92V-nvru9QOPMgo*HmidInexJNNhKXWJb/1JIKE.jpg?width=650)
MAHAKAMA YAKUBALI ALIYEKUWA MWANAUME AWE MWANAMKE
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s72-c/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
"Muumbaji wa ndoa ni Mungu peke yake............Hakuna mwalimu wa ndoa hapa duniani" - Tumaini Kilangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s640/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/18.jpg)
ALIYEKUWA DAKTARI WA CHELSEA, EVA CARNEIRO AFUNGA NDOA
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Amanda McCracken: Mwanamke aliyekuwa na wapenzi wengi lakini akasalia bikra hadi umri wa miaka 41
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfifQjyqIJ7LAcZbMe6*nU0*QbfOMV1*eND9k-bgL3D8fbDRDUijoMRVUaJ8JUiJh-ItwO83WTQRNwYA875couFu/Happycouplebed008.jpg?width=650)
MWANAMKE ANATAFUTWA NDOA INATENGENEZWA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SDyAhv-LsgU/VMCW9tzSRyI/AAAAAAAAAO4/GdMmiguYC2U/s72-c/mwizi.jpg)
Dalili za mwanamke anayetoka nje ya ndoa
![](http://4.bp.blogspot.com/-SDyAhv-LsgU/VMCW9tzSRyI/AAAAAAAAAO4/GdMmiguYC2U/s640/mwizi.jpg)
Wataalamu wa maswala ya mahusiano wanaamini kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa kuliko ilivyo kwa mwanaume.
Hii inatokana na ukweli kwamba, hisia zinakuwa na nafasi kubwa sana kwa mwanamke, kwani mwanamke huishi kwa hisia zaidi kuliko mwanaume. Bado nasisitiza kwamba, haipaswi na siyo sahihi mtu kuchukulia dalili hizi kama ushahidi wa mpenzi wake kutoka nje ya ndoa. Uchunguzi wa kina kufuatia dalili hizi ni muhimu sana.
Zifuatazo hapa chini...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-snaiDT0TvIg/U58lBwmHqVI/AAAAAAAFrHc/DgbEGVO40Lg/s72-c/Vick+akikumbatiana+na+Kigwangala+(1).jpg)
Mhe. Vicky Kamata aibuka na wimbo mpya wa "Moyo wa mtu kichaka" baada ya mikasa yake ya kuugua ghafla kabla ya ndoa yake