Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Kijana wa Mwamunyange’ akwama tena

Mwanafunzi wa Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT), Benedict Ngonyani anayekabiliwa na kesi ya kusambaza taarifa za uongo kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Davis Mwamunyange amelishwa sumu na kupelekwa nchini Kenya kwa matibabu anaendelea kusota rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Lwakatare akwama kufika shaurini

MKURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare jana alishindwa kufika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kusikiliza kesi ya kujaribu kudhuru kwa sumu inayomkabili pamoja na Ludovick Joseph.

 

10 years ago

Habarileo

Chenge akwama, akata rufaa

Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa. Anna Tibaijuka akisalimiana na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge baada ya kuhojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kuhusu sakata la Escrow, Dar es Salaam jana.MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ameendelea kupambana ili Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, lisiendelee kusikiliza shauri lake, licha ya pingamizi lake kutupiliwa mbali jana.

 

10 years ago

Habarileo

Kafulila akwama kufufua ya Escrow

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) ameshindwa kuwasilisha hoja binafsi, kuitaka Serikali iwasilishe bungeni ripoti ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuhusu uchunguzi wa tuhuma za rushwa katika sakata la iliyokuwa Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

11 years ago

Habarileo

Shekhe akwama kwenda kutibiwa India

SHEKHE wa Mkoa wa Mara, Athuman Magee, amelazwa katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam kwa takribani wiki moja sasa akisumbuliwa na matatizo ya pingili za uti wa mgongo huku Sh takribani milioni 10 zikikosekana ili kumpeleka India kwa matibabu. Kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa Shekhe huyo ambaye amekuwa akiongoza Mkoa wa Mara tangu mwanzoni mwa miaka ya sabini. Shekhe Magee anatakiwa kwenda kutibiwa India kutokana na maelekezo ya madaktari.

 

11 years ago

Mwananchi

Sheikh Ponda akwama Mahakama Kuu

>Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda amekwaa kisiki mahakamani baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali maombi yake ya marejeo dhidi ya uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chui akwama kwenye chungu akisaka maji

Chui mmoja aliyekuwa amesakamwa na kiu alijipata kwenye shida zaidi baada ya kichwa chake kukwama kwenye chungu akijaribu kufikia maji.

 

10 years ago

Vijimambo

MISS TANZANIA SHAKANI, LUNDENGA AKWAMA MAHAKAMANI



NA FLORA MWAKALASA - HABARI LEO. 
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na mwanzilishi wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga dhidi ya ombi la kuzuiwa kuendelea kuendesha mashindano hayo yanayotarajiwa kufikia kilele chake Oktoba 11, mwaka huu.
Hakimu Mkazi Frank Moshi alitoa uamuzi huo jana baada ya kupitia hoja za pingamizi hilo lililowasilishwa na Lundenga kupitia kwa Wakili wake Audax Kahendaguza.
Akitoa uamuzi...

 

10 years ago

Vijimambo

KAJALA AKWAMA PESA YA KUMTOA MUMEWE JELA

Licha ya mkwanja kumtembelea, msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja amekwama kupata pesa ya kumlipia faini mumewe Faraji Chambo ili aweze kutoka jela.Akizungumzia ombi la mumewe huyo kumtaka kutofuja pesa badala yake amlipie faini ili aondokane na mateso ya gerezani, Kajala alisema ni kweli anampenda sana mumewe na angetamani kufanya hivyo lakini kiasi cha shilingi milioni 200 kinachotakiwa si kidogo hivyo hawezi kukipata.
“Nampenda sana mume wangu, hilo halina ubishi na pia najua anateseka...

 

10 years ago

GPL

KAJALA AKWAMA PESA YA KUMTOA JELA MUMEWE

Stori: Imelda Mtema Licha ya mkwanja kumtembelea, msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja amekwama kupata pesa ya kumlipia faini mumewe Faraji Chambo ili aweze kutoka jela. Msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja akiwa na mumewe mahakamani. Akizungumzia ombi la mumewe huyo kumtaka kutofuja pesa badala yake amlipie faini ili aondokane na mateso ya gerezani, Kajala alisema ni kweli… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani