Shekhe akwama kwenda kutibiwa India
SHEKHE wa Mkoa wa Mara, Athuman Magee, amelazwa katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam kwa takribani wiki moja sasa akisumbuliwa na matatizo ya pingili za uti wa mgongo huku Sh takribani milioni 10 zikikosekana ili kumpeleka India kwa matibabu. Kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa Shekhe huyo ambaye amekuwa akiongoza Mkoa wa Mara tangu mwanzoni mwa miaka ya sabini. Shekhe Magee anatakiwa kwenda kutibiwa India kutokana na maelekezo ya madaktari.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Mar
Mramba, Yona waomba kwenda India kutibiwa
ALIYEKUWA Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona wanaokabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya Ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7, wamewasilisha ombi la kwenda kutibiwa nchini India.
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mramba, Yona ruksa kwenda India kutibiwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imetoa kibali kwa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini, Daniel Yona kwenda India kutibiwa maradhi, ambayo hawakuyataja mahakamani hapo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq0N439G9Jp-hRSixV9jKRjex9HJINT6flXFDXrh1QpmSNaTIxXOo0BrzOpGfQytgbkTMdhyA9Wl7q3-5jCUy*io/mguu.jpg)
MUNGU MKUBWA APATA FEDHA KWENDA KUTIBIWA INDIA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vp13-KTbEwg/VJ1Xa7NGjgI/AAAAAAAG55E/OMxlomwBPZQ/s72-c/04.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAAGA WATOTO WENYE MATATIZO YA MOYO KWENDA KUTIBIWA INDIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-vp13-KTbEwg/VJ1Xa7NGjgI/AAAAAAAG55E/OMxlomwBPZQ/s1600/04.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WxaQK24V3Fc/VJ1XLNusR3I/AAAAAAAG540/U-KAebIquYU/s1600/03.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Watoto 55 kutibiwa India
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Ulimwengu: Ni aibu kwenda kutibiwa nje
MCHAMBUZI wa masuala ya siasa na kijamii, Jenerali Ulimwengu, amesema ni kitendo cha aibu kwa viongozi wa Bara Afrika kwenda kutibiwa nje ya nchi magonjwa madogo ambayo yangeweza kutibiwa katika...
11 years ago
Habarileo01 Mar
Mufti wa Tanzania aenda India kutibiwa
MUFTI wa Tanzania, Sheikh Issa Bin Shaaban Simba ameondoka nchini juzi kuelekea India kwa ajili ya matibabu.
10 years ago
Habarileo26 Dec
Dk Bilal kuaga watoto 53 wanaokwenda kutibiwa India
WATOTO 53 wanaougua maradhi mbalimbali ya moyo wanaondoka nchini leo kwenda India kwa upasuaji ambapo wataagwa na.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5RmpLIZ5ejVETro6C5ntsyz1HgcF-Ayz4BenffPygIKsouRN52ugzeB3aWdAQCXpeFXLiryuP5efdnhqdlBDlZn4r/MSAFIRI.jpg?width=650)
MSAFIRI DIOF:AWASHAURI WATUMIAJI KWENDA MUHIMBILI, MWANANYAMALA KUTIBIWA BURE