Mramba, Yona waomba kwenda India kutibiwa
ALIYEKUWA Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona wanaokabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya Ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7, wamewasilisha ombi la kwenda kutibiwa nchini India.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mramba, Yona ruksa kwenda India kutibiwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imetoa kibali kwa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini, Daniel Yona kwenda India kutibiwa maradhi, ambayo hawakuyataja mahakamani hapo.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY1-04HTbqY/Ux8tsvSFNZI/AAAAAAAFS7Y/4GxUalj87EM/s72-c/1+(1).jpg)
Mahakama yawarusu kwenda kutibiwa nje ya nchi Mawaziri Waandamizi wa zamani,Basil Mramba na Daniel Yona
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY1-04HTbqY/Ux8tsvSFNZI/AAAAAAAFS7Y/4GxUalj87EM/s1600/1+(1).jpg)
Uamuzi huo umetolewa leo mahakamani hapo na Jaji John Utamwa baada ya washtakiwa hao kuwasilisha maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi.
Upande wa Jamhuri ulidai kuwa...
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Korti yaruhusu Yona, Mramba kutibiwa
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Korti yaruhusu Mramba, Yona kutibiwa nje
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imemruhusu Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, wanaokabiliwa na kesi ya matumizi...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Basil-Mramba-na-Daniel-Yona-wakiwa-mahakamani-hapo-leo..jpg)
YONA, MRAMBA KWENDA JELA MIAKA 2 BILA FAINI
11 years ago
Habarileo24 Jan
Shekhe akwama kwenda kutibiwa India
SHEKHE wa Mkoa wa Mara, Athuman Magee, amelazwa katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam kwa takribani wiki moja sasa akisumbuliwa na matatizo ya pingili za uti wa mgongo huku Sh takribani milioni 10 zikikosekana ili kumpeleka India kwa matibabu. Kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa Shekhe huyo ambaye amekuwa akiongoza Mkoa wa Mara tangu mwanzoni mwa miaka ya sabini. Shekhe Magee anatakiwa kwenda kutibiwa India kutokana na maelekezo ya madaktari.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RqVMmB8asHQ/VZpvVdTMXvI/AAAAAAAHnQ4/Gd7Ka7yvP7w/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
BREAKING NEWSSSS: Basil MRAMBA NA Daniel YONA WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3. Grey Mngonja huru
![](http://3.bp.blogspot.com/-RqVMmB8asHQ/VZpvVdTMXvI/AAAAAAAHnQ4/Gd7Ka7yvP7w/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5tWXbxAUuPo/VZpvmJY22FI/AAAAAAAHnRA/WsWRa7gzewc/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FCEo0sFcY4I/VZp0_O9kIJI/AAAAAAAHnSA/4S41A0Tigbc/s640/IMG-20150706-WA0017.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq0N439G9Jp-hRSixV9jKRjex9HJINT6flXFDXrh1QpmSNaTIxXOo0BrzOpGfQytgbkTMdhyA9Wl7q3-5jCUy*io/mguu.jpg)
MUNGU MKUBWA APATA FEDHA KWENDA KUTIBIWA INDIA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vp13-KTbEwg/VJ1Xa7NGjgI/AAAAAAAG55E/OMxlomwBPZQ/s72-c/04.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAAGA WATOTO WENYE MATATIZO YA MOYO KWENDA KUTIBIWA INDIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-vp13-KTbEwg/VJ1Xa7NGjgI/AAAAAAAG55E/OMxlomwBPZQ/s1600/04.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WxaQK24V3Fc/VJ1XLNusR3I/AAAAAAAG540/U-KAebIquYU/s1600/03.jpg)