Korti yaruhusu Yona, Mramba kutibiwa
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa kibali kwa mawaziri wawili wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona, wanaokabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya mabilioni, kwenda kutibiwa nchini India.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Korti yaruhusu Mramba, Yona kutibiwa nje
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imemruhusu Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, wanaokabiliwa na kesi ya matumizi...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mramba, Yona ruksa kwenda India kutibiwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imetoa kibali kwa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini, Daniel Yona kwenda India kutibiwa maradhi, ambayo hawakuyataja mahakamani hapo.
11 years ago
Habarileo11 Mar
Mramba, Yona waomba kwenda India kutibiwa
ALIYEKUWA Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona wanaokabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya Ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7, wamewasilisha ombi la kwenda kutibiwa nchini India.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY1-04HTbqY/Ux8tsvSFNZI/AAAAAAAFS7Y/4GxUalj87EM/s72-c/1+(1).jpg)
Mahakama yawarusu kwenda kutibiwa nje ya nchi Mawaziri Waandamizi wa zamani,Basil Mramba na Daniel Yona
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY1-04HTbqY/Ux8tsvSFNZI/AAAAAAAFS7Y/4GxUalj87EM/s1600/1+(1).jpg)
Uamuzi huo umetolewa leo mahakamani hapo na Jaji John Utamwa baada ya washtakiwa hao kuwasilisha maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi.
Upande wa Jamhuri ulidai kuwa...
10 years ago
TheCitizen08 Jul
Mramba, Yona jailed
10 years ago
GPLMRAMBA, YONA WAKESHA...
9 years ago
TheCitizen02 Oct
Mramba, Yona’s fate to be known today
9 years ago
IPPmedia03 Oct
Mramba, Yona get jail relief.
IPPmedia
The High Court has partially withheld appeals by former cabinet Ministers Basil Mramba (75) and Daniel Yona (76), reducing three-year imprisonment term to two years and overturning the Sh5m fine sentence ruled by the Kisutu Magistrate Court earlier in ...
10 years ago
IPPmedia25 Jul
Mramba, Yona appeal against imprisonment.
IPPmedia
Two former cabinet ministers, Basil Mramba and Daniel Yona, recently sentenced to serve three years in jail, yesterday filed an appeal against the ruling at the High Court of Tanzania. The two were accused of abusing office and causing a Sh11.7 billion ...