Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Korti yaruhusu Yona, Mramba kutibiwa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa kibali kwa mawaziri wawili wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona, wanaokabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya mabilioni, kwenda kutibiwa nchini India.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Korti yaruhusu Mramba, Yona kutibiwa nje

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imemruhusu Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na  aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, wanaokabiliwa na kesi ya matumizi...

 

11 years ago

Habarileo

Mramba, Yona ruksa kwenda India kutibiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imetoa kibali kwa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini, Daniel Yona kwenda India kutibiwa maradhi, ambayo hawakuyataja mahakamani hapo.

 

11 years ago

Habarileo

Mramba, Yona waomba kwenda India kutibiwa

ALIYEKUWA Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona wanaokabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya Ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7, wamewasilisha ombi la kwenda kutibiwa nchini India.

 

11 years ago

Michuzi

Mahakama yawarusu kwenda kutibiwa nje ya nchi Mawaziri Waandamizi wa zamani,Basil Mramba na Daniel Yona

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imewaruhusu kwenda kutibiwa nje ya nchi  Mawaziri Waandamizi wa zamani,  Basil Mramba na Daniel Yona wanaokabiliwa na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara ya Sh. bilioni 11.7  kwa kutoa msamaha wa kodi baada ya kusikiliza maombi yao leo.
Uamuzi huo umetolewa leo mahakamani hapo na Jaji John Utamwa baada ya washtakiwa hao kuwasilisha maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi.
Upande wa Jamhuri ulidai kuwa...

 

10 years ago

TheCitizen

Mramba, Yona jailed

Dar es Salaam. There were audible groans of disbelief and visible freely-flowing tears at the Kisutu Resident Magistrate’s Court yesterday after former cabinet ministers Basil Mramba, 75, and Daniel Yona, 76, were sentenced to serve three years in jail for abuse of office and causing Sh11.7 billion loss to the government.

 

10 years ago

GPL

MRAMBA, YONA WAKESHA...

Mramba (kushoto) akiteta jambo na wakili wake, Peter Swai baada ya Mahakama kumhukumu miaka mitatu jela na faini ya shilingi milioni tano. Harun sanchawa na denis mtima
JOTO ya jiwe! Wafungwa wawili wapya katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam, Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na mwenzake wa Nishati na Madini, Daniel Yona, wanadaiwa kukesha huku wakilia katika siku wakianza kutumikia kifungo chao cha miaka...

 

9 years ago

TheCitizen

Mramba, Yona’s fate to be known today

The fate of two former cabinet ministers, Basil Mramba and Daniel Yona, who have appealed against a three-year jail sentence will be known today when the High Court decides on their petition.

 

9 years ago

IPPmedia

Mramba, Yona get jail relief.


Mramba, Yona get jail relief.
IPPmedia
The High Court has partially withheld appeals by former cabinet Ministers Basil Mramba (75) and Daniel Yona (76), reducing three-year imprisonment term to two years and overturning the Sh5m fine sentence ruled by the Kisutu Magistrate Court earlier in ...

 

10 years ago

IPPmedia

Mramba, Yona appeal against imprisonment.


Mramba, Yona appeal against imprisonment.
IPPmedia
Two former cabinet ministers, Basil Mramba and Daniel Yona, recently sentenced to serve three years in jail, yesterday filed an appeal against the ruling at the High Court of Tanzania. The two were accused of abusing office and causing a Sh11.7 billion ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani