Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Kijiji cha Yamoto Band’ kinakaribia kukamilika — Aslay

Mwezi May mwaka huu tulifahamishwa kuwa Said Fella kupitia kituo chake cha Mkubwa na Wanawe Youth Center, anawajengea nyumba za kisasa wasanii wanne wa kundi la Yamoto Band zitakazokuwa sehemu moja (Ingia hapa). Kiongozi wa Yamoto Bnd, Aslay Isihaka amesema kuwa nyumba hizo ambazo ameziita ‘kijiji cha Yamoto’ kutokana na kujengwa sehemu moja na kwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Aslay adai Yamoto Band haiwezi kushuka kwasababu wamejipanga kikamilifu

Msanii wa muziki kutoka Yamoto Band, Aslay amesema wamejipanga vizuri kwenye Band kuhakikisha hawadondoki na kupotea kwenye game ya muziki. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa kama msanii utaweza kujipanga kikamilifu kwenye kazi ya muziki ni vigumu kushuka. “Mkiwa vizuri na mnashukuru mwenyezi Mungu itakuwa vigumu kuanguka sisi kama Yamoto Band, ukiangalia kuanzia kwenye uongozi na wasanii […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Sauti Sol, Skylight Band na Yamoto Band wapagawisha wakazi wa Dar BEAUTY and MUSIC Night!

DSC_0437

Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar.

DSC_0429

Petit Man (katikati) akishow love na wasanii wa bongo flava waliotumbuiza kwenye usiku huo maalum Kulia ni Mirror na Kushoto ni msanii wa bongo flava Jordan.

DSC_0424

Mwanadada mrembo akishow love mbele ya camera yetu.

DSC_0427

Petit Man Wakuache aking’ara kwenye Red Carpet.

DSC_0434

 Mirror na msanii mwenzake Jordan wakishow love...

 

10 years ago

Dewji Blog

SautiSol, Yamoto Band, Skylight Band na wengine kibao kupamba BEAUTY & MUSIC NIGHT kesho Escape One

#LIPALA DANCE Itachezeka kisawa sawa hapo kesho!

IMG-20140829-WA0001

Tiketi zinapatikana kwenye vituo vifuatavyo

IMG-20140829-WA0002

IMG-20140829-WA0000

 

9 years ago

We Were Not Bribed By Diamond

Yamoto Band


Yamoto Band - We Were Not Bribed By Diamond
AllAfrica.com
Famous Tanzanian band Yamoto has refuted reports that it was "bribed" by Diamond Platnumz to release a dis-track for his ex-girlfriend Wema Sepetu. During an interview with Word Is in Mombasa last week, the young crooners said that it was purely their ...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Bongo5

Music: Yamoto Band — Imo

Vijana wa Yamoto Band wamechia wimbo mpya unaitwa “Imo”. Umeataarishwa na Producer Fraga kutoka Uprise Music Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Vijimambo

YAMOTO BAND LIVE IN LONDON

Vijana wa Yamoto Band siku ya 21 February 2015 waliweka Historia katika jiji la London wakiwa ni watanzania wa kwanza kufanya Live show kwenye ukumbi wa Royal Regency na kuhudhuliwa na mamia ya wakaazi wa Jiji la London na vitongoji vyake. video hapo chini ni Kionjo tuu cha mambo yalivyokuwa.

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani