Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIJIWE CHA UGHAIBUNI MAALUM KWA MDAU ERIC BAHUNDE

Kijiwe cha Ughaibuni kinamtakiwa mwenzao Eric Bahunde (shati la njano) afya njema na kumuombea kwa Mwenyezi Mungu apone haraka Eric Bahunde amelazwa University of Maryland Medical Center kwa matibabu baada ya kupata ajali ya kukatika kwa miguu yote na mkono wa kulia. Kruu nzima ya Kijiwe cha ughaibuni inawaomba Watanzania wote wajitahidi kufika Hospitali kumjulia hali yupo ghorofa ya 6 chumba namba 8 na muulizie kwa jina la Elisha Bahunde Eric anapenda vyakula vya Kitanzania kama unaweza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WADAU DMV WASHEREHEKEA THANKSGIVING KWA KUMJULIA HALI ERIC BAHUNDE

Wadau DMV kutoka kushoto ni Louis Mushi, Yasin Randi katibu wa Jumuiya ya Watanzania DMV, Said Mwamende wakiwa nyumbani wa Eric Bahunde walipotumia muda wao na sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Thanksgiving ambayo leo ni mapumziko nchini Marekani kwa kumtembelea na kumjulia hali Eric ambaye pia ni rafiki wa karibu wa Said Mwamende.Yasin Randi katika picha ya pamoja na Eric BahundeKatibu wa Jumuiya ya Watanzania DMV Saidi Mwamende wakiwa na Eric Bahunde wakipata chakula siku ya leo katika...

 

10 years ago

Vijimambo

KU RECORD KIJIWE CHA UGHAIBUNI NEW YORK AUGUST 23, SAA 10 JIONI NYUMABANI KWA DR TEMBA.


Wadau wa Diaspora mnakaribishwa ku record kijiwe cha Ughaibuni siku ya jumapili tarehe 23 kuanzanzia saa 10 jioni. nyumbani kwa Dr Temba maudhui ya Kijiwe hicho ni kuzungumzia mchakato mzima wa siasa ya nchi yetu ya Tanzania kuelekea kwenye uchaguzi Oct 25. Mtu yeyote anakaribishwa kuja kuchangia hoja ya mtazamo na uelewa wake juu ya yote yanayoendelea Tanzania kwa sasa kuelekea kwenye uchaguzi. Piga simu hii #347 -475 -4313 kupata usaili wa jinsi ya kuhudhuria kijiwe hicho. Watu 10...

 

10 years ago

Vijimambo

KIJIWE CHA UGHAIBUNI NA WADAU TOKA NEW YORK AUGUST 23, SAA 10 JIONI NYUMABANI KWA DR TEMBA.

Wadau wa Diaspora mnakaribishwa ku record kijiwe cha Ughaibu siku ya jumapili tarehe 23 kuanzanzia saa 10 jioni. nyumbani kwa Dr Temba maudhui ya Kijiwe hicho ni kuzungumzia mchakato mzima wa siasa ya nchi yetu ya Tanzania kuelekea kwenye uchaguzi Oct 25. Mtu yeyote anakaribishwa kuja kuchangia hoja ya mtazamo na uelewa wake juu ya yote yanayoendelea Tanzania kwa sasa kuelekea kwenye uchaguzi. Piga simu hii #347 -475 -4313 kupata usaili wa jinsi ya kuhudhuria kijiwe hicho. Watu 10...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

KIJIWE CHA UGHAIBUNI KUREKODIWA NEW YORK AUGUST 23, SAA 10 JIONI NYUMABANI KWA DR TEMBA. Posted: 12 Aug 2015 09:15 AM PDT


Wadau wa Diaspora mnakaribishwa ku record kijiwe cha Ughaibuni siku ya jumapili tarehe 23 kuanzanzia saa 10 jioni. nyumbani kwa Dr Temba maudhui ya Kijiwe hicho ni kuzungumzia mchakato mzima wa siasa ya nchi yetu ya Tanzania kuelekea kwenye uchaguzi Oct 25. 
Mtu yeyote anakaribishwa kuja kuchangia hoja ya mtazamo na uelewa wake juu ya yote yanayoendelea Tanzania kwa sasa kuelekea kwenye uchaguzi. Piga simu hii #347 -475 -4313 kupata usaili wa jinsi ya kuhudhuria kijiwe hicho. Watu 10...

 

11 years ago

GPL

KIJIWE CHA UGHAIBUNI‏

Kijiwe No. 45 from Luke Joe on Vimeo.

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

ankal ndani ya kijiwe cha ughaibuni

Ankal na Ze Fulanazzzz yake akiwa na wadau wakuu wa KIJIWE CHA UGHAIBUNI alipotembelea Maryland, Marekani hivi karibuni, na kutia ubani katika kipindi hicho ambacho kimejizolea umaarufu mkubwa duniani kote. Kulia kwake ni Producer DJ Luke Joe, akifuatiwa na nyota wa mchezo Ben Mwaipaja na Mwanangu Yasin 'Mtoto wa Salamander' bila kumsahau mwenyekiti wa kijiwe. Nyuma ya kochi ni wadau ambao bila wao kipindi hicho kisingekuwa hai. Hii ni baada ya kurekodi kipindi ambacho kitaruka hivi...

 

11 years ago

Michuzi

KIJIWE CHA UGHAIBUNI - uraia pacha

Kijiwe No. 55 from Luke Joe on Vimeo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani