WADAU DMV WASHEREHEKEA THANKSGIVING KWA KUMJULIA HALI ERIC BAHUNDE
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wi7lCN2qFvc/VHdjfV6KDYI/AAAAAAADOZA/oekLlR6iSiA/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Wadau DMV kutoka kushoto ni Louis Mushi, Yasin Randi katibu wa Jumuiya ya Watanzania DMV, Said Mwamende wakiwa nyumbani wa Eric Bahunde walipotumia muda wao na sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Thanksgiving ambayo leo ni mapumziko nchini Marekani kwa kumtembelea na kumjulia hali Eric ambaye pia ni rafiki wa karibu wa Said Mwamende.
Yasin Randi katika picha ya pamoja na Eric Bahunde
Katibu wa Jumuiya ya Watanzania DMV Saidi Mwamende wakiwa na Eric Bahunde wakipata chakula siku ya leo katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi25 Feb
KIJIWE CHA UGHAIBUNI MAALUM KWA MDAU ERIC BAHUNDE
10 years ago
Michuzi12 Nov
Mtumie ujumbe wa kumjulia hali na kumpa pole Rais Kikwete kwa kupitia namba yake hii
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-l6tWNV-nXIU/VInBsy90U6I/AAAAAAADRWs/MgBlh9Z3JCU/s72-c/D92A1171.jpg)
Wakuu wa Mkoa wamtembelea na kumjulia hali Rais Kikwete
![](http://4.bp.blogspot.com/-l6tWNV-nXIU/VInBsy90U6I/AAAAAAADRWs/MgBlh9Z3JCU/s1600/D92A1171.jpg)
10 years ago
GPLASKARI WA JKT WAENDA KUMJULIA HALI MWENYEKITI WAO ALIYETEKWA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-sekbUKX_kb8/VGlok5rdW7I/AAAAAAAGxsg/ssF0x0qrcS4/s72-c/0L7C0440.jpg)
JK akutana na Jaji Mkuu wa Tanzania na ujumbe wake waliomtembelea kumjulia hali marekani
![](http://3.bp.blogspot.com/-sekbUKX_kb8/VGlok5rdW7I/AAAAAAAGxsg/ssF0x0qrcS4/s1600/0L7C0440.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu waTanzania Mhe Mohamed Chande Othman pamoja na ujumbe wake walipomtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka katika hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume.
Jaji Mkuu na ujumbe wake wako Marekani kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine yeye na ujumbe wake watahudhuria mkutano maalumu wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7gtzAuxckRw/Xt9PzD7_cII/AAAAAAAC7IQ/h2PLsZcHVqcEzYhRrwxaVUDkd8Wq67_SACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NAIBU SPIKA DKT. TULIA ACKSON AKIWASILI HOSPITALI KUMJULIA HALI MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-7gtzAuxckRw/Xt9PzD7_cII/AAAAAAAC7IQ/h2PLsZcHVqcEzYhRrwxaVUDkd8Wq67_SACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
*****
Naibu Spika, Dk.Tulia Ackson amemjulia hali Mwenyekiti Chadema, Freeman Mbowe katika Hospitali ya Ntyuka, Dodoma anakopatiwa matibabu baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana na kisha kujeruhiwa na kuvunjwa mguu mmoja na kusema kuwa...
10 years ago
VijimamboWAZIRI MKUU MH PINDA AMTEMBELEA NA KUMJULIA HALI RAIS MSTAAFU WA ZANZIBAR, SALMIN AMOUR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8a9yLkKQTdtYSL7xX5-eR-yfdLEKLtOax01l7Pd6N9MS9p105NdfIE0ZYAxe0siqJEOITA*UhuB61rtTxcvREAp/JK0.jpg?width=650)
JK ATEMBELEWA NA JAJI MKUU WA TANZANIA NA UJUMBE WAKE WALIOFIKA KUMJULIA HALI BALTIMORE, MAREKANI
10 years ago
Vijimambo13 Nov
UNAWEZA KUMTUMIA UJUMBE RAIS JAKAYA KIKWETE KUMJULIA HALI KWENYE NAMBA YAKE HAPO CHINI