Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwazo kwa wanawake wanaovuta Shisha

Je ni lazima mwanamke anayekwenda kujiburudisha katika kibanda cha Shisha aambatane na mlinzi? Ndio hoja kuu Saudi Arabia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

VIJANA WANAOVUTA GUNDI WAZIDI KUSHAMIRI DODOMA, WANANCHI WAFUNGUKA


Charles James, Michuzi Globu

PAMOJA na Jiji la Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi lakini bado idadi ya vijana wanaotumia dawa za kulevya aina ya gundi imezidi kuwa tatizo kwa wananchi wa jiji hilo.

Vijana hao wamekua wakishinda na kuzagaa katikati ya Jiji maeneo ya viwanja vya Nyerere ambapo wamekua wakicheza kamari, kusumbua wananchi wanaopita, wanafunzi na zaidi wakivuta gundi hadharani.

Globu ya Jamii imefanya uchunguzi wake na kugundua kuwa umri wa vijana hao ni kuanzia miaka tisa hadi 21 na...

 

11 years ago

Mwananchi

Maprodyuza, madj kikwazo kwa chipukizi

“Kuna wakati nahitaji kupiga hatua, lakini wale unaowategemea wawezeshe mafanikio hayo ndiyo watakuvuta mguu urudi nyuma.

 

9 years ago

Mwananchi

Sheria za ardhi kikwazo kwa wakulima

Wakulima wadogo wilayani Kilosa wameonekana kukosa ufahamu wa sheria za ardhi, jambo linalowafanya kushindwa kufuatilia kwa makini masuala ya ardhi pale inapotokea migogoro katika maeneo yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mrajis kikwazo kwa vyama vya ushirika

BAADHI ya wanaushirika nchini wanaichukulia nafasi ya Mrajis wa Vyama vya Ushirika kuwa ipo kuukwamisha ushirika. Pia wapo wanaodhani kwamba cheo hicho kilianzishwa baadaye kabisa, kama moja ya mikakati ya...

 

10 years ago

Mwananchi

UJASIRIAMALI: Mitaji midogo kikwazo kwa vikundi

>Ukosefu wa mbinu za kuboresha bidhaa, mtaji mdogo, matatizo ya afya na ukosefu wa mbinu za kuendeleza mikopo midogo ni miongoni mwa matatizo yanayowakabili wanawake waliojiajiri katika shughuli za usindikaji vyakula na utengenezaji wa bidhaa za mikono.

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara ya Ardhi ni kikwazo kwa maendeleo ya wanyonge nchini

Mimi ni mmoja kati ya wananchi waliofarijika, siku niliposikia Rais Benjamin Mkapa mwaka 2004 anamleta mtaalamu wa uchumi kuja kuisaidia Tanzania kubaini kila Mtanzania anamiliki nini kinachoweza kumsaidia kukopa katika benki na kumwinua kiuchumi.

 

9 years ago

Bongo5

BASATA yadai shule ni kikwazo kwa wasanii nchini

Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA limesema changamoto nyingi za kimaadili zinazotokea kwa wasanii zinatokana na kukosa elimu. Mkuu BASATA, Kwirujira Maregesi amesema wamekuwa wakitoa wito kwa wasanii kwenda shule bila mafanikio. “Shida tuliyonayo ya wasanii wengi wa Tanzania tunafanya kazi ya sanaa bila kwenda shule,” alisema. “Somea hiyo sanaa shule tunazo, Bagamoyo, Butimba, University […]

 

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu rasilimali kikwazo kwa usimamizi wa vyama vya siasa

Baadhi ya taasisi zinazosaidia kukuza demokrasia na kudhibiti matendo maovu katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, zipo hoi kirasilimali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani