Kikwazo kwa wanawake wanaovuta Shisha
Je ni lazima mwanamke anayekwenda kujiburudisha katika kibanda cha Shisha aambatane na mlinzi? Ndio hoja kuu Saudi Arabia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cUcqGQlrUXU/XnhUSXN4mbI/AAAAAAALkwk/dFRz1IjmGx0Zh6ZfGxSWWiQOFhxtLVh1ACLcBGAsYHQ/s72-c/3170ebfa-77ab-4957-aa93-33f5b12aba8e.jpg)
VIJANA WANAOVUTA GUNDI WAZIDI KUSHAMIRI DODOMA, WANANCHI WAFUNGUKA
Charles James, Michuzi Globu
PAMOJA na Jiji la Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi lakini bado idadi ya vijana wanaotumia dawa za kulevya aina ya gundi imezidi kuwa tatizo kwa wananchi wa jiji hilo.
Vijana hao wamekua wakishinda na kuzagaa katikati ya Jiji maeneo ya viwanja vya Nyerere ambapo wamekua wakicheza kamari, kusumbua wananchi wanaopita, wanafunzi na zaidi wakivuta gundi hadharani.
Globu ya Jamii imefanya uchunguzi wake na kugundua kuwa umri wa vijana hao ni kuanzia miaka tisa hadi 21 na...
11 years ago
Mwananchi04 May
Maprodyuza, madj kikwazo kwa chipukizi
“Kuna wakati nahitaji kupiga hatua, lakini wale unaowategemea wawezeshe mafanikio hayo ndiyo watakuvuta mguu urudi nyuma.
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Sheria za ardhi kikwazo kwa wakulima
Wakulima wadogo wilayani Kilosa wameonekana kukosa ufahamu wa sheria za ardhi, jambo linalowafanya kushindwa kufuatilia kwa makini masuala ya ardhi pale inapotokea migogoro katika maeneo yao.
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Mrajis kikwazo kwa vyama vya ushirika
BAADHI ya wanaushirika nchini wanaichukulia nafasi ya Mrajis wa Vyama vya Ushirika kuwa ipo kuukwamisha ushirika. Pia wapo wanaodhani kwamba cheo hicho kilianzishwa baadaye kabisa, kama moja ya mikakati ya...
10 years ago
Mwananchi19 Nov
UJASIRIAMALI: Mitaji midogo kikwazo kwa vikundi
>Ukosefu wa mbinu za kuboresha bidhaa, mtaji mdogo, matatizo ya afya na ukosefu wa mbinu za kuendeleza mikopo midogo ni miongoni mwa matatizo yanayowakabili wanawake waliojiajiri katika shughuli za usindikaji vyakula na utengenezaji wa bidhaa za mikono.
11 years ago
Mwananchi01 May
Wizara ya Ardhi ni kikwazo kwa maendeleo ya wanyonge nchini
Mimi ni mmoja kati ya wananchi waliofarijika, siku niliposikia Rais Benjamin Mkapa mwaka 2004 anamleta mtaalamu wa uchumi kuja kuisaidia Tanzania kubaini kila Mtanzania anamiliki nini kinachoweza kumsaidia kukopa katika benki na kumwinua kiuchumi.
9 years ago
Bongo529 Sep
BASATA yadai shule ni kikwazo kwa wasanii nchini
Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA limesema changamoto nyingi za kimaadili zinazotokea kwa wasanii zinatokana na kukosa elimu. Mkuu BASATA, Kwirujira Maregesi amesema wamekuwa wakitoa wito kwa wasanii kwenda shule bila mafanikio. “Shida tuliyonayo ya wasanii wengi wa Tanzania tunafanya kazi ya sanaa bila kwenda shule,” alisema. “Somea hiyo sanaa shule tunazo, Bagamoyo, Butimba, University […]
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Ukosefu rasilimali kikwazo kwa usimamizi wa vyama vya siasa
Baadhi ya taasisi zinazosaidia kukuza demokrasia na kudhibiti matendo maovu katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, zipo hoi kirasilimali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania