Kikwete aongoza mamia maziko ya Liundi
RAIS Jakaya Kikwete jana aliongoza mamia ya waombolezaji katika kuuaga na maziko ya Msajili wa Kwanza wa Vyama vya siasa, George Liundi aliyeelezewa kuwa msingi wa Demokrasia nchini. Aidha, baadhi ya wanasiasa wamemwelezea Liundi kuwa muasisi wa Demokrasia, ambaye misingi yake haiwezi kuvunjika, ambaye wakati akiwa Msajili alifuata sheria na taratibu bila kuyumbishwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MAREHEMU GEORGE LIUNDI KARIMJEE JIJINI DAR
10 years ago
MichuziDkt. Shein aongoza mamia ya waombolezaji kwenye Maziko ya WANA CCM Waliopata ajali jana
10 years ago
VijimamboRAIS WA ZANZIBAR AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZIKO YA WANA CCM WALIOPATA AJALI JANA
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Rais Kikwete aongoza mazishi ya Liundi
RAIS Jakaya Kikwete amewaongoza waombolezaji wakiwemo mawaziri na viongozi mbalimbali wa serikali na wa kidini kutoa heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa Msajili wa kwanza wa Vyama vya Siasa nchini,...
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Kikwete aongoza mamia kumzika Kigoda
11 years ago
Habarileo28 Feb
Kikwete aongoza mamia kumuaga Balozi Kazaura
RAIS Jakaya Kikwete na Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal jana waliongoza mamia ya viongozi wa Serikali, mabalozi wa nchi mbalimbali na wanataaluma, kuaga mwili wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Fulgence Kazaura.
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Kikwete aongoza mamia kuuaga mwili wa Dk Shija
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Kikwete aongoza mamia mazishi ya mbunge wa Chalinze Bagamoyo