Kikwete: Naondoka
SITTA TUMA NA BENJAMIN MASESE
RAIS Jakaya Kikwete jana alitangaza rasmi kuwa kipindi chake cha urais kitakoma Oktoba, mwaka huu, baada ya kutangazwa kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu na kuapishwa kwa rais wa Serikali ya Awamu ya Tano.
Amesema anajiandaa kumkabidhi mrithi wake orodha ya miradi yote ya maendeleo na mikakati yake ambayo atakuwa hajaikamilisha katika kipindi chake cha miaka 10 ya kuwa madarakani.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana, wakati akitoa hotuba mbele ya maelfu ya wananchi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*XmT4OQgq*rwHu5KnNeoSmv81IdDk8iYHAX7mq21ZruMV2TSyYInbMUUycIGHw47AF3YV9et6r4Z-muTSYsZXHg/22.jpg?width=650)
Boban: Naondoka Coastal
9 years ago
Habarileo18 Oct
Naondoka nikijivunia medani ya diplomasia, endelezeni - JK
RAIS Jakaya Kikwete amesema anajivunia katika utawala wake alivyokuza diplomasia na nchi mbalimbali na kutaka watendaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kumsaidia Rais na mawaziri wanaokuja kukuza uhusiano aliouacha.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKUjSlGvWcw79TogpBxsKG0B4tt93bDt6LWw2eiT9luuQP*a4a9m*S9gvOMi19Qa7OBPCtuS7aONDV8kMPaiXB-V/Untitled2.jpg)
Mrisho Ngassa: Nimerudi Yanga kuaga, naondoka