Boban: Naondoka Coastal
Haruna Moshi ‘Boban’. Na Martha Mboma MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Haruna Moshi ‘Boban’, huenda asiongeze mkataba katika kikosi chake hicho. Boban alitua Coastal Union msimu huu mwanzoni baada ya kumaliza mkataba wake na Simba msimu uliopita na kufanikiwa kupewa mkataba wa mwaka mmoja ambao unakaribia kumalizika. Chanzo cha karibu cha mchezaji huyo, kilisema kuwa kiungo huyo kwa sasa hana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLBoban atemwa rasmi Coastal Union
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Coastal Union yanawa kwa Boban, Nyosso
KLABU ya Coastal Union ya Tanga, imesema haina mpango wa kuwaongezea mkataba nyota wake Haruna Moshi ‘Boban’ na Juma Nyosso baada ya kwisha kwa mikataba yao ya awali. Ofisa Habari...
10 years ago
Mtanzania02 May
Kikwete: Naondoka
SITTA TUMA NA BENJAMIN MASESE
RAIS Jakaya Kikwete jana alitangaza rasmi kuwa kipindi chake cha urais kitakoma Oktoba, mwaka huu, baada ya kutangazwa kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu na kuapishwa kwa rais wa Serikali ya Awamu ya Tano.
Amesema anajiandaa kumkabidhi mrithi wake orodha ya miradi yote ya maendeleo na mikakati yake ambayo atakuwa hajaikamilisha katika kipindi chake cha miaka 10 ya kuwa madarakani.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana, wakati akitoa hotuba mbele ya maelfu ya wananchi...
9 years ago
Habarileo18 Oct
Naondoka nikijivunia medani ya diplomasia, endelezeni - JK
RAIS Jakaya Kikwete amesema anajivunia katika utawala wake alivyokuza diplomasia na nchi mbalimbali na kutaka watendaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kumsaidia Rais na mawaziri wanaokuja kukuza uhusiano aliouacha.
10 years ago
GPLMrisho Ngassa: Nimerudi Yanga kuaga, naondoka
11 years ago
GPLBoban arejea kuwavaa Yanga
10 years ago
GPLMaximo amtaja Boban Yanga SC
11 years ago
GPLSafari ya Boban Oman Januari 5
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Ubonge ‘nyanya’ wamtesa Boban